Cheo ni dhamana tuu, ukipewa cheo flani tafsiri yake umeaminiwa na watu kwenye nafasi hiyo, kuna baadhi ya viongozi wanajitwalia utukufu wa Mungu, sijapendezwa na hilo kabisa tafuta namna nyingine ambayo watu watakusifia kwa kipimo na ukanushe hizo kauli.