Viongozi msijivike utukufu wa Mungu

Pentamycin

JF-Expert Member
Mar 18, 2023
211
280
Cheo ni dhamana tuu, ukipewa cheo flani tafsiri yake umeaminiwa na watu kwenye nafasi hiyo, kuna baadhi ya viongozi wanajitwalia utukufu wa Mungu, sijapendezwa na hilo kabisa tafuta namna nyingine ambayo watu watakusifia kwa kipimo na ukanushe hizo kauli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…