gcmmedia
Member
- Jul 19, 2024
- 49
- 96
Viongozi dhaifu ni wale wanaopenda kusikia kile wanapenda kusikia, wagumu kusikia ama kupokea mawazo mbadala yanyokinzana na mawazo Yao. Hukimbilia kushughulikia watu (attack personality) na si kushughulika na hoja (do not deal with issues).
Kuna haja ya kufundisha (wanasiasa, wakuu wa taasisi za dini n.k) Uongozi.
Ukichaguliwa kuwa haikufanyi kuwa kiongozi, uchaguzi unampa mtu madaraka na fursa ya kuwa kiongozi, kamwe uchaguzi haumpi mtu “Uongozi” Bali “madaraka”.
Tuandae viongozi.
Kuna haja ya kufundisha (wanasiasa, wakuu wa taasisi za dini n.k) Uongozi.
Ukichaguliwa kuwa haikufanyi kuwa kiongozi, uchaguzi unampa mtu madaraka na fursa ya kuwa kiongozi, kamwe uchaguzi haumpi mtu “Uongozi” Bali “madaraka”.
Tuandae viongozi.