Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Kuna uhusiano gani wa viongozi wakuu wa CDM na kuwahi kufanya kazi BOT?
1. Mzee Mtei alipata kuwa Gavana wa BOT
2. Marehemu Bob Makani alipata kuwa Naibu Gavana wa BOT
3. Freeman Mbowe alipata kuwa Ofisa wa BOT
NB: Kunanini BOT na kuja kuwa kiongozi wa CDM?
1. Mzee Mtei alipata kuwa Gavana wa BOT
2. Marehemu Bob Makani alipata kuwa Naibu Gavana wa BOT
3. Freeman Mbowe alipata kuwa Ofisa wa BOT
NB: Kunanini BOT na kuja kuwa kiongozi wa CDM?