Ganador
New Member
- Jan 6, 2015
- 3
- 0
Habari wadau
Ninahitaji vijana wawili wanaojua kunyoa,sifa zao ziwe kama ifuatavyo
1.Wawe ni waaminifu wenye hofu ya Mungu na awe anishi Morogoro mjini
2.Wawe wanauzoefu wa kunyoa kwa muda usiopungua miaka mitatu
3.Wawe wanaweza kunyoa mitindo yote
4.Elimu kuanzia darasa la 7 mpaka form four na umri usipungue miaka 18 na usizidi miaka 30
5.Awe anauwezo wa kufanya marekebisho madogo madogo ya mashine za kunyolea kama kutengeneza,kubadilisha wembe na kuset zifanye kazi vizuri
6.Awe anauwezo wa kutumia wembe maalum wa kunyolea(staright razor cut),angalia picha hapo chini
7.Awe anaweza kunyoa ndevu kwa kutumia magic powder
8.Awe anaweza kutumia dawa mbalimbali kwa kuwaudumia wateja kama easy wave,easy black, na zingine.
Kwa yule ambaye yuko tayari au unamfahamu mtu anayekizi vigezo ninaomba uni pm.Ofisi iko Morogoro ni Barabershop.Vinyozi wanahitajika mapema iwezekanavyo,tuwasiliane ili tupange siku ya kufanyiwa interview.
Ninahitaji vijana wawili wanaojua kunyoa,sifa zao ziwe kama ifuatavyo
1.Wawe ni waaminifu wenye hofu ya Mungu na awe anishi Morogoro mjini
2.Wawe wanauzoefu wa kunyoa kwa muda usiopungua miaka mitatu
3.Wawe wanaweza kunyoa mitindo yote
4.Elimu kuanzia darasa la 7 mpaka form four na umri usipungue miaka 18 na usizidi miaka 30
5.Awe anauwezo wa kufanya marekebisho madogo madogo ya mashine za kunyolea kama kutengeneza,kubadilisha wembe na kuset zifanye kazi vizuri
6.Awe anauwezo wa kutumia wembe maalum wa kunyolea(staright razor cut),angalia picha hapo chini
7.Awe anaweza kunyoa ndevu kwa kutumia magic powder
8.Awe anaweza kutumia dawa mbalimbali kwa kuwaudumia wateja kama easy wave,easy black, na zingine.
Kwa yule ambaye yuko tayari au unamfahamu mtu anayekizi vigezo ninaomba uni pm.Ofisi iko Morogoro ni Barabershop.Vinyozi wanahitajika mapema iwezekanavyo,tuwasiliane ili tupange siku ya kufanyiwa interview.