Katika harakati zao za kuukomboa huu muziki na uzinduz wao wa Arusha, kund la VINEGA limeingia katika beef na VATOLOCO kundi linaloundwa na kina Ibra D Hustler.. haijafahamika clearly chanzo cha ugomvi ni nini lakini aliwahi kukaririwa Adili wa vinega akimshutumu mmoja wa wasanii wa Arusha, Fido. VATOLOCO wanarelease leo track inaitwa NJAA ZA VINEGA ambayo imefanyika Noizmekah R chuga.. Sasa hawa VINEGA wakianza beef namna hii tutafika kweli, au hizi harakat n za kuwanufaisha wao tu then wale chocho wakishapata vyao.???