Sasa jamani kwa viwango hivyo vya warembo tulivyoviona hapo kuna haja gani arsenal kuundelea kuwa klabu ya mpira wa miguu? Si wangefungua tu kampuni ya urembo maana wangenyakua mataji si mchezo! Kuliko hii aibu wanayotupa.
Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?
Mi nashangaa mtoa mada kaja na mada yake mijitu inaichakachua kwa habari za kufungwa kwa Arsenal!
Wewe arsenal ikishinda au ukifungwa kumi unafaidika vp? Matatizo uliyo nayo yanaisha au?