Ina maana aliyekwepa analipa tu kodi na hakuna hatua zingine kwa kosa la kukwepa kodi? Hapo itakuwa sawa na riwaya ile ya EPAWatu kulalamika hata kisicho na kweli,
Yeye kama rais alisema waliokwepa kido waende wakalipe,majina ya watumishi waliotumia nafasi zao kusaidia watawajibishwa
So suala la vimemo aliyeandika kimemo na alikipokea watajuana sisi tunataka kodi zetu
Hahaha. Wanalumumba hawataki waandika vimemo watajwe. Unajua kwa nini? Kunavuwezekani mkubwa rais mstaafu, waziri mkuu wakuu wengine ndani ya chama km kina kinana ndio waandika vimemo. Ndio maana utasikia wakisema sisi tunahitaji kodi ilipwe hatuhitaji kujua makubaliano yao ya vimemo! Hii sheria ya wapi? Aliyekwepa na aliyesaidia au kutumia madaraka yake kusaidia kukwepa kodi wote wana kesi ya kujibu!
Wahusika wanatakiwa kulipa ushuru wa makonteina yao nukta. Mambo ya vimemo, kama walivinunua au kutoa rushwa watajuana wenyewe kwani mtu hawezi kupindisha taratibu na sheria kwa vimemo.
Tufanye kwa mfano Rais au PM alimwandikia Kamishna wa kodi aondoe kontena fulani bila kulitoza jee huoni hiyo ilikuwa ni amri hata kama ilikiuka sheria? Na kama unamwajibisha huyo Kamishna wa kodi kwa kosa hilo jee hutakuwa umemwonea kama utakuwa hujamwajibisha na yule aliyetoa amri?
Tufanye kwa mfano Rais au PM alimwandikia Kamishna wa kodi aondoe kontena fulani bila kulitoza jee huoni hiyo ilikuwa ni amri hata kama ilikiuka sheria? Na kama unamwajibisha huyo Kamishna wa kodi kwa kosa hilo jee hutakuwa umemwonea kama utakuwa hujamwajibisha na yule aliyetoa amri?
huo mziki ndio mtajua kwamba,ccm ni ileile ya kulindana labda yawe majina ya wapinzani lakiini kama ni ya wana ccm itakuwa ndoto
Kiranga kama hakuna hata kiongozi mmoja anayeboronga na kujiuzulu itakuwa mtendaji ajiuzulu kwa sababu kapewa kimemo cha kumuagiza afanye jambo ambalo yeye hakuridhika nalo kwa vile limekwenda kinyume?Hivi bongo hatuna watu wenye principle za kukataa vimemo na hata kujiuzulu kama wanaamrishwa tofauti na sheria?
Kusema niliandikiwa kimemo si utetezi.
Mkuu vimemo vingine vya kuhuni, yani hakina tarehe wala sahihi au ni feki wewe mtaalamu umeenda shule unapokea kimemo bila kuhoji then utoa makontena tu shauri yako na hayo mamemo utafungwa sababu mwenye memo mwenyewe atakukana na utaua familia yako
Mkuu ukifata mchezo huo kwa wakati huu hatutafanukiwa, mfano,ukishatoa nafasi ya kusikiliza vumemo,wataesabu hayo mabilioni yanayodaiwa atasema ,nilipewa kimemo na mkapa ,kj, mkuu wa majeshi au wakuuu wa majeshi waliopita,
Utafanyaje hapo?
Kodi hazitarudi dawa ni huyo tuliyempa mamlaka yeye akafanya kazi na vimemo na hakutoa taarifa adi alipobadwa maana yake ameshiriki wizi anajua sheria zinasemaje,yeye akaonge na aliyempa kimemo watupe kodi yetu wasimtishe rais na vimemo vyao ili na wengine wajifunze,