We mzee wa tecno mbna una kiherehere sana[emoji23][emoji23]yani wajibwetukiaNasikia wameshinda UN seat,sasa si waende huko wakachukue chakula
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Ni kweli kwamba UN seat inatoa chakula,au jamaa mzushi tu.We mzee wa tecno mbna una kiherehere sana[emoji23][emoji23]yani wajibwetukia
Muulize joto la jiwe[emoji23][emoji23]Ni kweli kwamba UN seat inatoa chakula,au jamaa mzushi tu.
Kwani unazan mk 254 anaelimu ? Ni mtoto mmoja muhuni wa mitaaniHivi si walijisifu kuwa wameanza kununua na kukusanya chakula kwa ajili ya kujipanga.
Serikali ya Kenya yaanza kununua na kukusanya chakula kwa ajili ya kujipanga yakija ya kuja