Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,646
- 164,798
Umekuwa kama ni utamaduni wa kawaida tu kwa watu mbalimbali siku hizi kubuni vikundi na kuvipa majina kama vile "friends of Lowassa" n.k na kisha ku-print t-shirts na vikundi hivi kufanya kazi kwenye jamii yetu kama vile kutoa misaada kwa watu na Taasisi mbalimbali zinazohitaji misaada n.k.
Ok,it's fine!Lakini je,kwa mfano,kesho na keshokutwa, "Salary Slip" nae akaibuka na kikundi chake na kukiita "opponents of the union" itakuwa ni kosa?Kama ni kosa;je, ni kosa kwa sheria ipi ya nchi?Kama kikundi changu kilitakiwa kusajiliwa,ningekisajili kwa sheria ipi?
Au,kwa mfano, nikaamua ku-print t-shirt kadhaa zenye ujumbe "opponents of the union" na kwenye kikundi chetu tukaamua kuzivaa na kuzisambaza nchi nzima itakuwa ni kosa?Kama ni kosa,kwa sheria ipi?
Kumbuka ujumbe unasema tu oppenents of the union bila kutaja ni unioni ipi hasa na watu wa kikundi husika wakaamua kuvaa hizo nguo na kudunda mtaani utawakata na kuwashitaki kwa sheria gani?Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kusajii vikundi vya aina hii.
Au hata nikanzisha kikundi wakati huu ambapo campaign hazijaanza na ku-print t-shirt za kikundi changu zenye ujumbe unaosomeka "opponents of the new proposed constitution" utanibani kwa sheria ipi ili hali kikundi changu hakijasajiliwa na wala sijaitaja hiyo new proposesd constitition ni ipi na ni ya nchi gani.
Zingatia huo unakuwa ni ujumbe tu unaovaliwa na wanakikundi bila kufanya harakati zozote zenye kuonyesha kukiuka au kuvunja sheria za nchi.
Haya mambo kuna umuhimu wa kuyatazama kwa mapana na marefu yake tusingoje mpaka siku yatokee tusiyoyatarajia ndio tuone umuhimu wa kuyatungia sheria au kuyawekea utaratibu.
Wanasheria mtusaidie hapa kwani ingawa mimi si mwanasheria,ila naona kuna "loophole" kubwa tu katika sheria zetu na ambayo imekaa vibaya na tena si kidogo.
Ok,it's fine!Lakini je,kwa mfano,kesho na keshokutwa, "Salary Slip" nae akaibuka na kikundi chake na kukiita "opponents of the union" itakuwa ni kosa?Kama ni kosa;je, ni kosa kwa sheria ipi ya nchi?Kama kikundi changu kilitakiwa kusajiliwa,ningekisajili kwa sheria ipi?
Au,kwa mfano, nikaamua ku-print t-shirt kadhaa zenye ujumbe "opponents of the union" na kwenye kikundi chetu tukaamua kuzivaa na kuzisambaza nchi nzima itakuwa ni kosa?Kama ni kosa,kwa sheria ipi?
Kumbuka ujumbe unasema tu oppenents of the union bila kutaja ni unioni ipi hasa na watu wa kikundi husika wakaamua kuvaa hizo nguo na kudunda mtaani utawakata na kuwashitaki kwa sheria gani?Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kusajii vikundi vya aina hii.
Au hata nikanzisha kikundi wakati huu ambapo campaign hazijaanza na ku-print t-shirt za kikundi changu zenye ujumbe unaosomeka "opponents of the new proposed constitution" utanibani kwa sheria ipi ili hali kikundi changu hakijasajiliwa na wala sijaitaja hiyo new proposesd constitition ni ipi na ni ya nchi gani.
Zingatia huo unakuwa ni ujumbe tu unaovaliwa na wanakikundi bila kufanya harakati zozote zenye kuonyesha kukiuka au kuvunja sheria za nchi.
Haya mambo kuna umuhimu wa kuyatazama kwa mapana na marefu yake tusingoje mpaka siku yatokee tusiyoyatarajia ndio tuone umuhimu wa kuyatungia sheria au kuyawekea utaratibu.
Wanasheria mtusaidie hapa kwani ingawa mimi si mwanasheria,ila naona kuna "loophole" kubwa tu katika sheria zetu na ambayo imekaa vibaya na tena si kidogo.