Vikosi vya Chad vyaua wanamgambo 200 wa Boko haram

Vikosi vya Chad vyaua wanamgambo 200 wa Boko haram

Status
Not open for further replies.

Umuhirindahu

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
349
Reaction score
170
Vikosi vya Chad vimevuka mpaka na kushambulia msitu walikojificha Bokoharam baada ya kuteka nyara watoto wa kike wasiopungua 200,taarifa kutoka jeshi la Chad wamepoteza askari 9 kwa upande wao.
 
Kumbe hiyo misitu inafahamika mi nilijua haieleweki wako wapi.
 
hongera zao chadi na hao bh ni wazembe sana unakuta wanaenda vitani wamevaa ndala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom