Vikosi viwili vya YANGA

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
6,479
Reaction score
8,146
HIZI SIO TIMU MBILI TOFAUTI, HII NI YOUNG AFRICANS. Na hiki ndicho kitu tulichokikosa msimu uliopita ambapo hatukuwa na kikosi kipana kama hivi kutokana na sababu mbalimbali kama majeraha yaani ilifika wakati kwenye benchi unamuona Damaro na Depu pekee ambao wanaweza kuingia na kubadili kitu...✍️

Msimu huu tuna vikosi viwili vizito sana na hapo bado kuna wachezaji wengine 14 wapo nje kabisa mfano Toure, Sureboy, Mwijage, Casemiro, Mihambo, Mohamed Mussa, Mahsen nk.

 
Kwenye hicho kikosi cha kwanza watoe Kibwana Shomary, Juma Abushiri na Damaro Camara; halafu wajumuishe Aziz Kii, Yao Kwasi na Mudathir/au kiungo mwingine maestro.
 
Utopolo.
Walijaribu kwenye ile show yao.
Kikawalamba.
 
Cha ajabu CAF CHAMPIONS LEAGUE inaishia group stage
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…