LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
Iwapo serikali haitalipa bunge shilingi 8.3 bilioni ambazo ni bakaa katika bajeti iliyopitishwa kwa mwaka huu unaoisha wa fedha kuna uwezekano likasitisha shughuli zake

Hahahaaa we acha tu usanii wa viongozi wetu awamu hii hatari sana bora muda wao uishe tuchague dikteta mwingine labda tunaweza kubahatisha dikteta mzuri.Jamani hii sinema au maigizo!! hivi siyo bunge hili liliroruydisha pesa serkalini mwaka jana kwamba zimepatikana kwa kubana matumizi.Leo tena hawana pesa hebu waache maigizo na sinema.
Nadhani yalikuwa maamuzu yasiyo shirikishi 'Any decision you make in life you are responsible for it'Jamani hii sinema au maigizo!! hivi siyo bunge hili lilirorudisha pesa serkalini mwaka jana kwamba zimepatikana kwa kubana matumizi.Leo tena hawana pesa hebu waache maigizo na sinema.
cheki hapa chini
Bunge labana matumizi na kuokoa Bilioni 6/-. Zitatumika kutengenezea madawati
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by FRANCIS DA DON, Apr 11, 2016.
Hivi zile kiki za mradi wa madawati ziliishia wapi? Au zilipotea na michango ya tetemeko la Bukoba?Jamani hii sinema au maigizo!! hivi siyo bunge hili lilirorudisha pesa serkalini mwaka jana kwamba zimepatikana kwa kubana matumizi.Leo tena hawana pesa hebu waache maigizo na sinema.
cheki hapa chini
Bunge labana matumizi na kuokoa Bilioni 6/-. Zitatumika kutengenezea madawati
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by FRANCIS DA DON, Apr 11, 2016.