Kumbe sikujuwa kama mimi siyo Mtanzania!!:-/
waweza kuwa ndugu ya nkurunziza
Kumbe sikujuwa kama mimi siyo Mtanzania!!:-/
Mkuu jiandae kivingine kabisa utashangaa sana kuona ccm ikishinda tena mkuu.
Mkuu unadani ni kazi rahisi kupanda mmea kwenye rami ukamea? Ni vema mkawaza vizuri vinginevyo presha ya moyo mnayo.
ccm ni chama kikubwa hakijaanza kufanya viko leo siku zote kimekuwa kikitoka salama kabisa na maamuzi thabiti yenye tija kwa taifa.