Kama una nia nae kweli mfate kwake.
mtu huwa atongozwi kwao, 2namalizana juu kwaju.
Habari wadau, poleni na pilika pilika za kutafuta ridhiki.
Nimeona niilete hii mada tuijadili hasa kwa wakazi wa jiji la dar-es-salaam.
Mwenzenu nikitembeleaga posta huwa nashindwaga kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa, mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA wakati wengi wao wanatokea mitaa ya mbagala, tandika, manzese, tandale, gongolamboto nk ambapo ukiwakuta kwenye makazi yao huwezi kuamini kama umekutana nae posta, they act as they are very expensive as if posta ndio makazi yao ya kudumu. Kuweni wastaarabu sio tukikutana posta ndio mpande chati wakati wote tunaishi sehemu moja.
uko pande zipi shem posta hupajui?
Usiangaike wewe kariri sura then hao hao utawakuta usiku katika mawindo unabeba tu kama pocket inaongea
mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA wakati wengi wao wanatokea mitaa ya mbagala, tandika, manzese, tandale, gongolamboto nk ambapo ukiwakuta kwenye makazi yao huwezi kuamini kama umekutana nae posta, they act as they are very expensive .
posta si ni dar?
temeke, kinondoni, ubungo....
Posta ndiyo wapi?
..unadharau kwasababu ya ulimbukeni..inferiority complex inakusumbua na kuongozwa na hisia hasi..achana na fikra mgando...
Habari wadau, poleni na pilika pilika za kutafuta ridhiki.
Nimeona niilete hii mada tuijadili hasa kwa wakazi wa Jiji la Dar-es-salaam.
Mwenzenu nikitembelea Posta huwa nashindwa kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa.
Mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA wakati wengi wao wanatokea mitaa ya Mbagala, Tandika, Manzese, Tandale, Gongolamboto nk ambapo ukiwakuta kwenye makazi yao huwezi kuamini kama umekutana nae posta, they act as they are very expensive as if posta ndio makazi yao ya kudumu.Kuweni wastaarabu sio tukikutana Posta ndio mpande chati wakati wote tunaishi sehemu moja.
mkuu dont under estmate person u dont know. Yawezekana wewe ndo unamawazo mgando..
Mwenzenu nikitembelea Posta huwa nashindwa kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa
ni kipimo kipi hicho kilichokudhibitishia wanajiona kama wapo USA..ilhali kumsimamisha umeshindwa?..au wamepigwa mihuri ya kujiona?/...Face your fears...ningekuona unajitambua kama ungekuja na mifano miwili mitatu ya mabinti unaowafahamu wakakuruka walipokuona huko Posta...Si ajabu hata presentation skills huna....Mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA