mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Unashangaa posta? Nenda Mlimani city ukajionee wengine walioshuka kutoka sayari ya mars
posta si ndio mjini kwenyewe.. siku hizi hata huku tandale kwa mkunduge wanaringa
Wenzio wako busy na kilichowapeleka posta wewe unaacha kilichokupeleka posta na kutaka wadada. Kwa nini usiwasemeshe mkiwa huko mnakoishi? Kwani kila mtu anapotoka anakuwa smart zaidi, sasa wewe unawapenda wakiwa smart zaidi.
Hawana mpango na wewe kwa sababu na wewe mkiwa kwenu Mbagala huna mpango nao!!!
Kama wakiwa posta wanakuwa busy kwa ajili ya maendeleo yao basi wako sahihi kabisa kwani muda hautoshi!!
i think you are rightMara nyingi maeneo hayo huwa ni maeneo ya kazi na kuna maofisi mbali mabali......Watu huwa hawana muda wa kupoteza....kila mtu yupo bize na lwake...labda kama mtoa mada ni mzururaji...........
Vipi mlimani city mkuu ushapita mitaa hiyo ni kama new yorke au la
Vipi mlimani city mkuu ushapita mitaa hiyo ni kama new yorke au la
Posta ndiyo wapi?
JF inaperuziwa dunia nzima.Ukitaja sehemu i-specify mji,nchi n.k. ueleweke.Posta, Nakuru central in Kenya?
mkuu wengi wanaendaga kuuza sura2 hawana lolote ila ukikutana nao wanakaza ile mbaya
Kama una nia nae kweli mfate kwake.hapana mkuu, hawa dada zetu wakiwa posta hawatongozeki