Deogratius n
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 1,193
- 254
Habari wadau, poleni na pilika pilika za kutafuta ridhiki.
Nimeona niilete hii mada tuijadili hasa kwa wakazi wa Jiji la Dar-es-salaam.
Mwenzenu nikitembelea Posta huwa nashindwa kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa.
Mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA wakati wengi wao wanatokea mitaa ya Mbagala, Tandika, Manzese, Tandale, Gongolamboto nk ambapo ukiwakuta kwenye makazi yao huwezi kuamini kama umekutana nae posta, they act as they are very expensive as if posta ndio makazi yao ya kudumu.Kuweni wastaarabu sio tukikutana Posta ndio mpande chati wakati wote tunaishi sehemu moja.
Nimeona niilete hii mada tuijadili hasa kwa wakazi wa Jiji la Dar-es-salaam.
Mwenzenu nikitembelea Posta huwa nashindwa kuwaelewa hawa mabinti yani some time hata kumsimamisha mrembo huwa nashindwa.
Mda wote wadada hawa wanajiona kama wapo USA wakati wengi wao wanatokea mitaa ya Mbagala, Tandika, Manzese, Tandale, Gongolamboto nk ambapo ukiwakuta kwenye makazi yao huwezi kuamini kama umekutana nae posta, they act as they are very expensive as if posta ndio makazi yao ya kudumu.Kuweni wastaarabu sio tukikutana Posta ndio mpande chati wakati wote tunaishi sehemu moja.