Vijimambo vya shalobalo kwa babu Loliondo

Vijimambo vya shalobalo kwa babu Loliondo

B.O.G

Senior Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
144
Reaction score
40
Shalo balo mmoja alifika kwa babu kwa nia ya kupatiwa kikombe cha dawa,Baada ya kuwa amepatiwa kikombe hicho chakusitajabisha ni kwamba alibaki amekishikilia bila kunywa ndipo babu aka amua kumuuliza kulikoni! mbona haunywi dawa? mtumzima sharobalo akajibu Nasubiri mlija men! babu akamwambia hebu ondoka hapa.shalobalo akarudi nyuma kidogo kisha akasema ila nina VVU men.
 
Siku ya mabomu aliambiwa kimbia bomu linakuja akasema "ngoja nifunge raba bob".
 
wakati wa mlipuko wa mabomu gongolamboto walitahadhaishwa kuongea na simu sharobaro akasema naongea na baby man
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom