Wandugu naona msaada wa namna ya kujitoa kwenye vijihuduma vya kifisadi vya vodacom maana kila kukicha naletewa bili zisizo na maana, mara redio ya swaga , mara nyimbo. Sioni umuhimu zaidi ya kuliwa pesa tafadhali anayefahamu namna ya kujitooa maana no.100 hawatoi ushilikiano kabisa