vijana waliodhulumiwa ujana wao

vijana waliodhulumiwa ujana wao

2hery

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2011
Posts
4,700
Reaction score
4,630
katika jamii yoyote ile rika lenye nguvu hupewa nafasi ya kipeke kufanya maamuzi ya mambo mbalimbali kwa manufaa ya wengine.
leo katika kuangalia kipindi cha dira ya dunia saa tatu usiku..mwandishi wa habari Zuhra yunis anadai kutokana na mahojiano na mfuasi wa alshabab moja ya sababu ya kujiunga na alshababu ni kitendo cha kudhululumiwa ujana wao.swali ni nini maana ya kudhulumiwa ujana na je vijana wa Tanzania wanapewa nafasi au wanadhulumiwa ujana wao?
 
Tanzania ni dhuluma tupu kwa vijana ! Maana kuna hata propaganda kwamba vijana ni taifa la kesho !
 
tatizo linakuja kwa vijana wanao pewa nafasi wanazitumikia ipasavyo? ni mazingira gani amboya vijana wanatengeneza pasi kujali itikadi yoyote ile kuepuka hili.au ni kwa kuwa vijana bado hawajatambua nafasi yao katika jamii Erythrocyte
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom