Vijana wa siku hizi mnatoa wapi pesa?

Vijana wa siku hizi mnatoa wapi pesa?

Wengi wao vijana wanaishi hawaangalii maisha ya baadae hivyo wanaigiza maisha utakutana na kijana kavaa jeans 30k viatu 100k koti la 70k simu ya 600k hana ishu yoyote mjini bia kila siku za ofa ukimuona unaweza sema pesa zipo afu anakwambia sina mtaji magu kabana
Vyote hivyo anavipata bure? Atakuwa ana shughuli.
 
Vijana wa siku hzi tunatumia sana pesa hivyo akili ya kuzisaka inaongezeka...
 
Ukimwonaa kijanaa mkingaa mjini ana helaa ujue kashamfanyaa mama yake chizii au kashatoaa kafaraa Kwa MTU yyt ktkt familiaa yaan wakinga wana roho ngumu haoo
ushawaona wakinga kwenye nyama Choma? Hao jamaa ni bahiri asikwambie mtu
 
ushawaona wakinga kwenye nyama Choma? Hao jamaa ni bahiri asikwambie mtu
huwa inanishangaza watu wanavyowazushia wakinga kuwa pesa zao zinatokana na kuua mama zao hawa jamaa ni wabahiri kama kuna mganga anakupa masharti hayo usitumie pesa hovyo huyo mganga ni mshauri kama pesa zingekuwa zinapatikana bila kuzitolea jasho hawa jamaa wangekuwa wanaongoza kwa bata
 
Ukweli vijana wa siku wamefanikiwa sana zamani wazee wetu walikuwa wanaajiriwa au wanajiajiri lakini walikuwa wakiishi kimsoto msoto sana.

Lakini vijana wa siku hizi unawakuta wanamiliki nyumba hapa mjini pamoja na kumiliki mikoko ya maana huku kila weekend hawakosi kuchoma nyama.

Japo kuna vijana wengine ni msoto lakini baadhi yao wako vizuri kama hawa vijana ambao wamefanikiwa wakiamua kuwapiga tafu wenzio mambo yangekuwa bamba to bamba.


Vijana wa siku hizi wanatawaliwa sana na tamaa bila kufanya kazi na ndiyo maana muda wote wananukia harufu ya mavi kwa sababu wengi wao wanashikishwa ukuta, haswa vijana wa Dar.
 
huwa inanishangaza watu wanavyowazushia wakinga kuwa pesa zao zinatokana na kuua mama zao hawa jamaa ni wabahiri kama kuna mganga anakupa masharti hayo usitumie pesa hovyo huyo mganga ni mshauri kama pesa zingekuwa zinapatikana bila kuzitolea jasho hawa jamaa wangekuwa wanaongoza kwa bata
Nnarafiki zangu wakinga wanahela balaa lakin akikupa offer kubwa ujue ni pepsi
 
Ukweli vijana wa siku wamefanikiwa sana zamani wazee wetu walikuwa wanaajiriwa au wanajiajiri lakini walikuwa wakiishi kimsoto msoto sana.

Lakini vijana wa siku hizi unawakuta wanamiliki nyumba hapa mjini pamoja na kumiliki mikoko ya maana huku kila weekend hawakosi kuchoma nyama.

Japo kuna vijana wengine ni msoto lakini baadhi yao wako vizuri kama hawa vijana ambao wamefanikiwa wakiamua kuwapiga tafu wenzio mambo yangekuwa bamba to bamba.
Mkuu Pesa za Majini, Chunguza vidoleni mwao utapata majibu..
 
ushawaona wakinga kwenye nyama Choma? Hao jamaa ni bahiri asikwambie mtu
Wakinga wanajituma sana katika kazi, na ni wagumu sana kufanya matumizi ya ovyo ovyo! Ndio sababu ya mafanikio yao. Sisi wengine matumizi makubwa kuliko mapato
 
Wakinga wanajituma sana katika kazi, na ni wagumu sana kufanya matumizi ya ovyo ovyo! Ndio sababu ya mafanikio yao. Sisi wengine matumizi makubwa kuliko mapato
Kweli kabisa hilo ndo mana tunatofautiana kuna watu ukiwapa ata kama mtaji 2M ndani ya mwaka utakuta yupo mbali ila kijana mwingine utakuta tayari mtaji umekufa ata mwaka haujaisha
 
Back
Top Bottom