Habari zenu wapendwa,
Naomba kuuliza.
Kwanini vijana wengi siku hizi hasa vijana wa jinsi ya kike wanapenda sana hela na tamaa ya mali?
Why hawana uvumilivu wa maisha wanapenda mteremko mwanzo mpaka mwisho?
Naombeni mnisaidie maana naona maskini wengi wanaibiwa hadi wananyang'anywa wake/wapenzi wao na wengi waliofanikiwa kimaisha wenye mali/pesa.
Naomba kuuliza.
Kwanini vijana wengi siku hizi hasa vijana wa jinsi ya kike wanapenda sana hela na tamaa ya mali?
Why hawana uvumilivu wa maisha wanapenda mteremko mwanzo mpaka mwisho?
Naombeni mnisaidie maana naona maskini wengi wanaibiwa hadi wananyang'anywa wake/wapenzi wao na wengi waliofanikiwa kimaisha wenye mali/pesa.