Vijana wa kitanzania

Vijana wa kitanzania

DEKABOY

Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
38
Reaction score
7
Hakuna ubishi ya kuwa taifa lolote linakombolewa na vijana. Lakini je vijana wa Tanzania tunajua hilo au tunabakia kupiga kelele bila kuonesha upambanaji wa dhati ili kulikomboa taifa letu? Tuamke vijana tusikalie kuvaa miregezo kwa vijana wa kiume na kuvaa nusu uchi kwa vijana wa kike. Note, TAIFA NI LETU SIE VIJANA.
 
Tupe mbinu sasa tuanzie wapi katika kulikomboa Taifa letu tukufu?
 
Tulikomboeje sasa hili taifa? Tuingie msituni?
 
acha kukurupuka mtoa mada,kwani kuvaa milegezo kuna athari gani ktk uchumi?kwani vijana wa marekani wanavaaje?na mbona uchumi wao upo safi.?
 
Hakuna ubishi ya kuwa taifa lolote linakombolewa na vijana. Lakini je vijana wa Tanzania tunajua hilo au tunabakia kupiga kelele bila kuonesha upambanaji wa dhati ili kulikomboa taifa letu? Tuamke vijana tusikalie kuvaa miregezo kwa vijana wa kiume na kuvaa nusu uchi kwa vijana wa kike. Note, TAIFA NI LETU SIE VIJANA.

Vijana wa kitz bado sana ....... ubinafsi sumu yetu kubwa, ndio cancer inayotafuna hili taifa tajiri wa rasilimali maskini wa akili!!!
 
Back
Top Bottom