Godwin peter
JF-Expert Member
- May 12, 2019
- 360
- 605
Habarini humu wadau,
Naombeni muongozo au kama nyie mshawahi kukutana na hali kama hizi mnazikabili vipi.
Kiufupi ni kwamba nimeajiriwa kwenye company moja hivi, sasa nipo kwenye matazamio ya miezi mitatu, sasa katika ile company kuna vijana wawili same age kama yangu waliingia kama intern hawa vijana wana unaa sana na kazi.
Yaani naona ajira yangu ikipotea kwasababu wanajituma sana hata kutoka ofisini wao wanakuwa wa mwisho na kuingia wao ndio wa kwanza kiasi kwamba hadi wakuu hapo wataona ni bora wawachukue wao waniache mimi.
Je, ushawahi kukumbana na hii kadhia ofisini kwako na je vipi uliweza kui-handle hii situation.
Note: Mtaani pagumu
Naombeni muongozo au kama nyie mshawahi kukutana na hali kama hizi mnazikabili vipi.
Kiufupi ni kwamba nimeajiriwa kwenye company moja hivi, sasa nipo kwenye matazamio ya miezi mitatu, sasa katika ile company kuna vijana wawili same age kama yangu waliingia kama intern hawa vijana wana unaa sana na kazi.
Yaani naona ajira yangu ikipotea kwasababu wanajituma sana hata kutoka ofisini wao wanakuwa wa mwisho na kuingia wao ndio wa kwanza kiasi kwamba hadi wakuu hapo wataona ni bora wawachukue wao waniache mimi.
Je, ushawahi kukumbana na hii kadhia ofisini kwako na je vipi uliweza kui-handle hii situation.
Note: Mtaani pagumu