Chadema inabidi waongezee kigezo kimoja kwa kugombea ubunge na udiwani.
Mtu anayetaka kuwani udiwani au ubunge ni lazima awezekuthibitisha ni kwa kiasi gani amechangia kuwaelimisha watu anaotaka kuwawakilisha juu ya umuhimu wa kujiandikisha,kupiga kura na hasara ya kuuuza shahada yake kwa Tsh. 10,000.
Mtu anayetaka kuwani udiwani au ubunge ni lazima awezekuthibitisha ni kwa kiasi gani amechangia kuwaelimisha watu anaotaka kuwawakilisha juu ya umuhimu wa kujiandikisha,kupiga kura na hasara ya kuuuza shahada yake kwa Tsh. 10,000.