Vijana wa Form Six walioenda JKT bado wanaendelea kuishi kwa mateso

Nobunaga

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,169
4,985
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Kwani umesikia wanaenda kulakula huko. Kuruti anapenda kula na kulala, kama hujapita jeshi huwezi elewa.
 
Mazoezi yale kwa aliyezoea kula kulala lazima alalame. Maana yake ni mwendo wa kunyakua na muda wote hakuna cha Mswalie mtume kule. Hivyo mwambie avumilie kwani kuna kitu kinajengwa kwa kweli inakuweka kuwa tayari kuishi popote.
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
we umeshafika hata kambi moja ya JKT? Acha uzushi wa kijinga, jeshi siyo km huo umbea wenu wa uswahilini
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Kambi nyingi za Jeshi ktk nchi zetu hizi za dunia ya tatu ambazo nyingi zinafuata mfumo wa kikomunisti au ujamaa (udikteta) utagundua kwamba ni kama Kambi za Mateso (Tourture Centers or tourture camps) badala ya kuwa kambi ambazo watu wachukua ujuzi na maarifa ya kijeshi, wakati kambi za Jeshi ktk nchi zingine ambazo zinafata mfumo wa nchi za Magharibi wa kiliberali utagundua kuwa ni Kambi za Mafunzo ya ujuzi na umahiri ktk masuala ya kijeshi, zinalenga ktk kujenga umahiri (competence) ktk nyanza zote za kijeshi.
Mfano mdogo tu kuthibitisha hoja yangu hii, rejea tukio la majibizano ya risasi kati ya Hamza Mohamed na wale Mapolisi wengi waliokwenda kumdhibiti pale Selander bridge. Ukichunguza kwa umakini mkubwa zile video zinazoonyesha jinsi Askari Polisi walivyokuwa wanapiga risasi kuelekeza kwa Hamza Mohamed na jinsi Hamza alivyokuwa aki-react dhidi yao hao Polisi utaona ushahidi wa hicho nilichosema.
 
mateso kwa mujibu wa sheria.
Hivi tunapata faida gani kama taifa kwa hizi programs?
Faida ni kuwapa vijana mateso ili waishi maisha ya stress na hasira, hatimaye kuwa mentally unstable kutokana ugumu wa maisha wanaokumbana nao baada ya kumaliza mafunzo. Ila wenyewe wanasema wanawajengea vijana "uzalendo", japokuwa Mimi na elimu yangu ya kutosha kuhusiana na masuala ya afya ya binadamu sioni uhusiano wowote ule wa kisayansi uliopo kati ya "kupiga kwata " na "uzalendo".
 
Mazoezi yale kwa aliyezoea kula kulala lazima alalame. Maana yake ni mwendo wa kunyakua na muda wote hakuna cha Mswalie mtume kule. Hivyo mwambie avumilie kwani kuna kitu kinajengwa kwa kweli inakuweka kuwa tayari kuishi popote.
Mapigano ya vita ktk dunia ya sasa yanahitaji matumizi ya Akili/elimu zaidi kuliko nguvu. Vita ya kisasa inapiganwa kisayansi kwa kutumia akili zaidi na nguvu kiasi, tena nguvu inatumika pale tu inapobidi na ikionekana kuwa ni lazima. Majeshi yetu sisi bado yapo kwenye Ujima, mafunzo yao mengi yamejikita ktk matumizi ya nguvu zaidi kupita kiasi kuliko akili, na wakati mwingine hawatumii akili kabisa.
 
Faida ni kuwapa vijana mateso ili waishi maisha ya stress na hasira, hatimaye kuwa mentally unstable kutokana ugumu wa maisha wanaokumbana nao baada ya kumaliza mafunzo. Ila wenyewe wanasema wanawajengea vijana "uzalendo", japokuwa Mimi na elimu yangu ya kutosha kuhusiana na masuala ya afya ya binadamu sioni uhusiano wowote ule wa kisayansi uliopo kati ya "kupiga kwata " na "uzalendo".

Mkuu umeeleza kitaalamu, mimi na elimu yangu…hata kwa fimbo siwezi peleka uzao wangu huko! Wala hata ntu ahubiri sijui uzalendo sijui what apite tu asinipotezee muda!
 
Mapigano ya vita ktk dunia ya sasa yanahitaji matumizi ya Akili/elimu zaidi kuliko nguvu. Vita ya kisasa inapiganwa kisayansi kwa kutumia akili zaidi na nguvu kiasi, tena nguvu inatumika pale tu inapobidi na ikionekana kuwa ni lazima. Majeshi yetu sisi bado yapo kwenye Ujima, mafunzo yao mengi yamejikita ktk matumizi ya nguvu zaidi kupita kiasi kuliko akili, na wakati mwingine hawatumii akili kabisa.
Hii huwa ni point ya kijinga sana kwa sababu hakuna vita ya nguvu basi askari asipewe mazoezi ya utimamu wa mwili.
Ni reason ya hovyo sana, na ni nani amekwambia keshini hakuna wasomi? Basics za kijeshi, Utimamu wa mwili ni priority hauwezi kuwa askari jeshi halafu unawaza kulakula, huwezi kukesha, huna uvumilivu etc

Hizo missions hatari unafikiri kila sehemu drones zitafanya kazi? Au mabomu yatatumika kila sehemu?

Hili nimekujibu straight kuhusiana na majeshi na wanajeshi sio hili la mtoa mada na hivyo vitoto vya mujibu sheria.
 
Nina mdogo wangu aliyeko kwenye kambi mojawapo mikoa ya nyanda za juu kusini, imebidi anitafute ili nimtumie chochote kitu kwa sababu chakula wanachopewa ni kidogo sana na wanapiga tizi linalohitaji ule ushibe haswa.

Inasemekana wengi wasio na uwezo wa kujinunulia chakula wametoroka, na waliobaki basi lazima ujiongeze.

Ni juzi juzi tuu JKT walikanusha vijana wa form 6 kuteswa pindi wanapoenda kwenye haya mafunzo, je kuwanyima chakula na huku wanapiga zoezi gumu siyo moja ya mateso?
Ukishakuwa kuruti automatic msosi hautoshi.
Na huyo kijana wako ni wale "mamy am going I need to use your car".
 
Back
Top Bottom