mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Mtu anakujibu k mara p aiseeeWananikera sana hawa raia....
Mtu anakujibu k mara p aiseeeWananikera sana hawa raia....
Hiyo avatar ni miguu yako mwenyewe ama!!?Huyu sidhani kama anajielewa ama kweli huu ni msiba
Kama unataka niache kuchart na wewe tumiaMtu anakujibu k mara p aiseee
Mnaweza kuta mnachart vizuri mwisho aanaanza pw au p wtf!! Akishafika hapo siendelei Na waweza usinisikie nakutafta tena xaxa kexho inakuaje hata sihangaiki Na texts zisizo kua Na maanaKama unataka niache kuchart na wewe tumia
P.
K
X
Ujinga kwa wajinga wenzao
View attachment 449400
Sisi wenye watoto wa kike mbona pressure? ?
Jamani hii sasa misifa ..! Mtasababisha tupige nyeto asubuhi hiiView attachment 449400
Sisi wenye watoto wa kike mbona pressure? ?
Mimi huwa sijibu kitu na akinipigia kuniuliza namwambia kabisa sijaelewa lugha uliyotumia kabisa, akijaribu kunielezea meseji yake hapo ndio namalizana naye kabisa kwa jibu hili.. ''mbona maneno unayoniambia sijayaoona kwenye hiyo sms yako?''
uwa najiuliza kitufe chake cha 's' kibovu au.....
Muwafundishe kua wanaulizia condom kabla ya tendo.View attachment 449400
Sisi wenye watoto wa kike mbona pressure? ?
Mtu wa sampuli hiyo naonaga Bado hajakua Na ukomavu wa fikrauwa najiuliza kitufe chake cha 's' kibovu au.....
Dume Suruali Achana nao hao we si huhongiJamani hii sasa misifa ..! Mtasababisha tupige nyeto asubuhi hii