Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,958
Vijana njooni machimboni tupige ela, mnangangania daswamu(Dar) kutwa kuzurula mitaani tu
Kunengua mauno kama dada zetu kweli??
Kijana mdogo dhahabu sio shida ata ukitaka nakugawia mtafute ela
Kijana umerizika unakafriji, ka tv ka solar max na kitanda na vyombo taar na hapo upo dar zaidi ya miaka 10.
Siku ukifa utasikia marehemu aliacha friji na kitanda cha sofa ,na tv solar max inchi 32 😁
Uzembe tu wakufanya kazi mfyuuu
Dar ni jiji la bata tafuteni ela mikoa afu ndo uende Dar
Kunengua mauno kama dada zetu kweli??
Kijana mdogo dhahabu sio shida ata ukitaka nakugawia mtafute ela
Kijana umerizika unakafriji, ka tv ka solar max na kitanda na vyombo taar na hapo upo dar zaidi ya miaka 10.
Siku ukifa utasikia marehemu aliacha friji na kitanda cha sofa ,na tv solar max inchi 32 😁
Uzembe tu wakufanya kazi mfyuuu
Dar ni jiji la bata tafuteni ela mikoa afu ndo uende Dar