Vijana wa CHADEMA wamepoteza matumaini na chama chao na Viongozi wao

nakuhurumia sana juliana shonza ukawa wametulia wanawachungulia kwa mbali sana wanawacheka mnavyoangaika wanajua hakuna wakushindana na dr slaa pangeni safu yenu ya mafisadi ukawa itaweka jembe halafu utaona coverage dr sasa yuko kimya sana hana mapepe anaandaa namna yakuweka makombora yake vizuri siku mkiamka na mgombea wenu mnaemuona ni kinara wenu watu wanatoa uchafu wake hakuna aliye msafi kwenye timu yenu ya mapanya

Hayo unayoyasema yangeweza kuwa ni propaganda mzuri sana wakati ule...!
 
Mwnamke fuska mara nyingi ni yule ikifika mida ya jioni huvaa kitop na kimini halafu hujitembeza kwenye mabaa ili angalau apate buzi la kuchuna,hafai kuwa mke wa mtu.Mke mwema ni yule aliyetulia nyumbani kwa wazazi wake na kuwasikiliza wanamwambia nini.Hao wanaotangaza nia nia kabla ya wakati wanatafuta mabuzi wawachune wakipata Uraisi mwaka huu,hawafai kuwa wake za watu.

Siku nyingine jaribu kuandika na kutoa mifano iliyo relevant kidogo..,umeenda upogo sana..!!
 
Ktk watu ninao wadharau kbs ni huyu dada, siko hapa kwa kukutukana bal niko kwa kujibu pumba zako,
Umesubiri ule ufisad wa Escrow umepoa ndo unakuja na pumba zako hapa, haya nenda kapokee buku 7 yako ila nasikia mmeongezewa now imekuwa buku 10

Lakini dharau yako hainipunguzii chochote, bado nitaendelea kuwaelezea namna mnavyobugi.
 
Makubwa...!!!

Umejivisha usemaji wa vijana wa UVCCM.

Angalia ulivyopagawa na kuchanganyikiwa akili yako..tulia, wewe bado mdogo! Angalia kama ni usemaji basi wewe ni wa UVCCM, BAVICHA, CCM,CHADEMA NA FREE MEDIA!! Usipokuwa makini utakujakuokota makopo barabarani...!!
 
Waliokuingiza chamani kimagumashi mtaondoka nao baada ya kumpata Mwenyekiti wetu mpya atakayekijenga chama kuanzia chini hadi juu - ili kirudi kwenye misingi yake ya 1977 ya haki na usawa kwa wote.
 
dada july vip kaka #mwampamba nimemis aje! hebu mwambie aje humu jukwaani timtime naye naye atuburudishe na utumbo wenu! mdada dr slaa ni gogo gum sna uwez hata kuzigusa gidamu za viatu vyake nadhani uliona yalowapata mwigamba,mkumbo na zed k
 
Elimu na maisha.,done with classes nitakuwepo sana humu..,mjipange.

Aaaah Dada Jully... Mhh dada umeumbika.... kwa sura uko mzuri sana yaani umbo lako huwa nalizimia sana, anyway endelea kuwepo na endelea KULA RAHA ZA ROHO ili .... yako itulie. October siyo mbali dada tutakutana kwenye kampeni. yaani nikilala nikiamuka nakuwaza wewe... Achana na CHADEMA wachovu unawafuata fuata wanini wakati wewe uko kwenye maisha bora. Nani kule BAVICHA aliyepiga picha na Rais huku amemkumbatia.... ungeendelea kukaa huko hiyo bahati usingeliipata... Hongera dada wewe uko juu sana endelea KUPIGA. unayachokoza ya nini mwishowe yakutukane bure...
 
Mwaka huu wa 2015, ni mwaka wa uchaguzi mkuu, ni mwaka ambao kama taifa tunatagemea kupata amir jeshi mkuu mpya na rais wa awamu ya tano wa jamhuri yetu. Vyama mbalimbali vya siasa vinapambana na kujiandaa kuhakikisha kuwa amir jeshi huyo anatokana na wao. CCM kama chama tawala kinajiandaa kwa hili na upo mnyukano mkubwa ndani ya chama wa kuhakikisha kuwa anapatikana Rais Bora na Mwenyekiti muadilifu wa Chama hicho.


Vijana katika sehemu zote, katika taasisi hizi za kisiasa wamekuwa ndio wachakalikaji wakubwa, ndio wapiga debe wa wagombea mbalimbali ambao wamekwishatangaza nia na wale ambao bado nia yao haijawekwa wazi. Kwenye Mitandao ya kijamii, katika magazeti, wordpress na kwingineko vijana wanachuana kuwapamba wagombea wao.


Vijana ndani ya Chama cha mapinduzi wamekuwa katika vita baina yao inayotokana na makambi yao ya wagombea urais.,vita hii inatokana na imani kubwa waliyonayo kuwa ukifanikiwa kusimama ndani ya CCM kama mgombea basi bila kipingamizi chochote huyo ndie anayekuja kuwa Rais wa Jamhuri kwa awamu ya tano.


Hali ni tofauti kabisa kwa upande wa Upinzani, kwani kwao hakuna vuguvugu za wagombea Urais na wote wamejielekeza kwenye majimbo kutokana na ukweli kuwa hakuna tumaini la kushika dola kwa upinzani. Na hivyo basi vijana wa Chadema, Cuf na NCCR wamejikita katika kupigania na kuwapambanua wagombea watokanao na CCM..kwenye bunge la jamhuri wapinzani wanapigana vita ya wagombea wa CCM, tumbili na wenzake wamejipambanua wazi kuwa wao ni wa kundi moja wapo la urais ambalo mgombea wake ni wa CCM.,kwenye mitandao ya kijamii akina Yericko Nyerere hawaandiki tena kuhusu ziara za Babu na mkewe, wala hawaandiki kuhusu mnyika na porojo zake, hawaandiki chochote zaidi ya wasifu wa wagombea Urais ndani ya CCM, Kitila Mkumbo na wenzie katika waandishi waliokuwa wakiibeza CCM kila kukicha wamejikita katika kuandika Ubora wa wagombea wa CCM, ni ajabu lakini ni kweli kuwa wasomi hawa ambao wanaona CCM imepoteza dira lakini wanaona katika CCM wamejaa wenye uelekeo.,ni ajabu.


TanzaniaDaima kama chombo kikuu cha Chama katika kuripoti taarifa zake, kwa mfululizo tangu mwaka umeanza front page zake zimejaa wagombea wa CCM na sarakasi zao, Mbowe, Slaa na Wengineo sio tena ajenda ya wahariri katika chombo hicho. Inafurahisha, Mbowe amefanya tukio la kuandaa vijana 4000 wa red brigades na Tanzania Daima imekuja na front page news “HUKU LOWASA, KULE MWIGULU” Ikasema >wabunge 150 CCMwampigia debe lowasa, yeye amwachia Mungu., >utafiti wamuibua Mwigulu kuwa Kinara wagombea Vijana. Hii ni raha ya roho.


Hali hiyo ni kielelezo cha ukweli kuwa Vijana ndani ya Chadema na Ukawa kwa ujumla wamepoteza matumaini na vyama vyao na viongozi ndani ya vyama vyao, hawawaongelei tena wala hawawafikirii kuwa wanaweza kuwa ni Viongozi wa Jamhuri yetu ya Tanzania. Zamani kidogo matumaini yalikuwepo tena makubwa, tuliamini kuwa Slaa anaweza kuchukua nchi,tuliamini CCM wameshinda kwa kuiba kura na kupitisha makontena ya karatasi za kura. Vijana tuliimba wimbo wa matumaini mapya, hata mimba ya mke wa Slaa kwetu ilikuwa ni ajenda, kuwa Babu ni Kidume haswaa. Leo hali ni tofauti, Tafiti hazitaji tena kuwa wapo wapinzani wenye nguvu, Tafiti zinasema CCM maarufu, zinataja orodha ya wanaCCM tu katika wanaodhaniwa kumrithi JAKAYA, hawatajwi wapinzani.


Hii ni HALI HALISI.,na hizi ndizo salamu zangu kwenu kwa mwaka 2015..JIPANGENI.

Well said...ukweli mtupu huu na lazima usemwe
 
Jifunze kwanza kuandika.,ukiweza unda hoja..,ukiweza njoo nazo hapa uchangie.
Nadhani hustahili kuandika chochote! kama kujenga hoja kunaanzia kujifunza kuandika, kwa hiyo CCM inapendwa vijijini kwa kuwa wengi hawajui kusoma wala kuandika? Ulishasikia methali za wazee zilizokuwa na mantiki , je walijua kusoma? halafu, mtu atakuja nazo vipi wakat hapa tunachangia vitu vinatoka kichwani? Na tena hoja zinaundwa kama meli, kama gari , kama bajaji? Kiswahili kigumu eh! Kweli wewe mchambuzi
 
..... ujumbe uliojificha kwenye maandishi ambao pengine haujaandikwa (namaanisha maana iliyofichika) ni kwamba Juliana bado anaipenda sana Chadema na anatamani kuwa sehemu ya ukawa., anawaonea wivu akina Ben Saa 8 aliowaacha huko.
Bavicha aliodai wamepooza nafkri kupitia thread hii wamemuonesha kuwa bado wapo.
ushauri wangu: KAMA JULIANA BADO UNAITAMANI BAVICHA KIASI HIKI RUDI, OMBA MSAMAHA, TUTAKUFIKIRIA.
 
We mmama,siasa unalazimisha.hujui chochote.Huwezi shuhudia nchi inamalizwa na mafisadi bado ukaendelea kuitetea,unless wewe ni sehemu ya wafaidika.Tusifanye siasa kama ushabiki wa mpira.Kwamba Arsenal hata ikifungwa unabaki kuwa fan wake hata ishuke daraja
 
Lakini dharau yako hainipunguzii chochote, bado nitaendelea kuwaelezea namna mnavyobugi.

upuuzi mtupu,cdm tupo field hizi siasa za kijinga hazitowafikisha wala kuwaokoa na anguko kuu hapo October.pole kwa kuchezewa na savimbi then ukatupwa kama used condoms
 
huyu kicheche keshafulia kitambo na sasa anatafuta atokeje.tumpe pole kwa kutumiwa na wajanja na kuharibu future take kisiasa.
 
Mwaka huu wa 2015, ni mwaka wa uchaguzi mkuu, ni mwaka ambao kama taifa tunatagemea kupata amir jeshi mkuu mpya na rais wa awamu ya tano wa jamhuri yetu. Vyama mbalimbali vya siasa vinapambana na kujiandaa kuhakikisha kuwa amir jeshi huyo anatokana na wao. CCM kama chama tawala kinajiandaa kwa hili na upo mnyukano mkubwa ndani ya chama wa kuhakikisha kuwa anapatikana Rais Bora na Mwenyekiti muadilifu wa Chama hicho.


Vijana katika sehemu zote, katika taasisi hizi za kisiasa wamekuwa ndio wachakalikaji wakubwa, ndio wapiga debe wa wagombea mbalimbali ambao wamekwishatangaza nia na wale ambao bado nia yao haijawekwa wazi. Kwenye Mitandao ya kijamii, katika magazeti, wordpress na kwingineko vijana wanachuana kuwapamba wagombea wao.


Vijana ndani ya Chama cha mapinduzi wamekuwa katika vita baina yao inayotokana na makambi yao ya wagombea urais.,vita hii inatokana na imani kubwa waliyonayo kuwa ukifanikiwa kusimama ndani ya CCM kama mgombea basi bila kipingamizi chochote huyo ndie anayekuja kuwa Rais wa Jamhuri kwa awamu ya tano.


Hali ni tofauti kabisa kwa upande wa Upinzani, kwani kwao hakuna vuguvugu za wagombea Urais na wote wamejielekeza kwenye majimbo kutokana na ukweli kuwa hakuna tumaini la kushika dola kwa upinzani. Na hivyo basi vijana wa Chadema, Cuf na NCCR wamejikita katika kupigania na kuwapambanua wagombea watokanao na CCM..kwenye bunge la jamhuri wapinzani wanapigana vita ya wagombea wa CCM, tumbili na wenzake wamejipambanua wazi kuwa wao ni wa kundi moja wapo la urais ambalo mgombea wake ni wa CCM.,kwenye mitandao ya kijamii akina Yericko Nyerere hawaandiki tena kuhusu ziara za Babu na mkewe, wala hawaandiki kuhusu mnyika na porojo zake, hawaandiki chochote zaidi ya wasifu wa wagombea Urais ndani ya CCM, Kitila Mkumbo na wenzie katika waandishi waliokuwa wakiibeza CCM kila kukicha wamejikita katika kuandika Ubora wa wagombea wa CCM, ni ajabu lakini ni kweli kuwa wasomi hawa ambao wanaona CCM imepoteza dira lakini wanaona katika CCM wamejaa wenye uelekeo.,ni ajabu.


TanzaniaDaima kama chombo kikuu cha Chama katika kuripoti taarifa zake, kwa mfululizo tangu mwaka umeanza front page zake zimejaa wagombea wa CCM na sarakasi zao, Mbowe, Slaa na Wengineo sio tena ajenda ya wahariri katika chombo hicho. Inafurahisha, Mbowe amefanya tukio la kuandaa vijana 4000 wa red brigades na Tanzania Daima imekuja na front page news “HUKU LOWASA, KULE MWIGULU” Ikasema >wabunge 150 CCMwampigia debe lowasa, yeye amwachia Mungu., >utafiti wamuibua Mwigulu kuwa Kinara wagombea Vijana. Hii ni raha ya roho.


Hali hiyo ni kielelezo cha ukweli kuwa Vijana ndani ya Chadema na Ukawa kwa ujumla wamepoteza matumaini na vyama vyao na viongozi ndani ya vyama vyao, hawawaongelei tena wala hawawafikirii kuwa wanaweza kuwa ni Viongozi wa Jamhuri yetu ya Tanzania. Zamani kidogo matumaini yalikuwepo tena makubwa, tuliamini kuwa Slaa anaweza kuchukua nchi,tuliamini CCM wameshinda kwa kuiba kura na kupitisha makontena ya karatasi za kura. Vijana tuliimba wimbo wa matumaini mapya, hata mimba ya mke wa Slaa kwetu ilikuwa ni ajenda, kuwa Babu ni Kidume haswaa. Leo hali ni tofauti, Tafiti hazitaji tena kuwa wapo wapinzani wenye nguvu, Tafiti zinasema CCM maarufu, zinataja orodha ya wanaCCM tu katika wanaodhaniwa kumrithi JAKAYA, hawatajwi wapinzani.


Hii ni HALI HALISI.,na hizi ndizo salamu zangu kwenu kwa mwaka 2015..JIPANGENI.
Nakupenda sana Juliana Mpenzi. Nakumbuka ulivyokuwa unanipa mapenzi motomoto pale chuoni. Nakumbuka ulivyokuwa unanikatikia viuno ukiwa uchi wa Mnyama. Nakumbuka ulikuwa unashindwa kusoma kwa ajili yangu, unakesha umelele kifuani kwangu. Nimelimiss penzi lako mpenzi Juliana. Nakumbuka tulivyokula valentine day pale Picnic vila hotel.Ila naumia uliponiibia milioni tano zangu geto ukakimbia, ukaenda kugombea uongozi BAVICHA ukashinda, ukanitupa, namba ya simu ukabadilisha, ukanisaliti, ukaolewa. Lakini mimi binadamu nimekusamehe mpenzi, please Rudi mpenzi tu-Resume penzi letu, yaliyopita sindwele tugange yajayo.
 
Back
Top Bottom