Vijana tuwe makini na tiba mbadala

Vijana tuwe makini na tiba mbadala

Hawa jamaa nadhank huwa wanakaa darasani kabisa kuusoma mfumo mzima wa mwili wa binadamu.
Hawa jamaa kabla ya kukuuzia dawa anakuanzia mbali balaa. Atakuelezea kuhusu tatizo.. Jinsi linavytokea.. Visababishi vyake.. Madhala yake na tiba yake.. Mwishoni wanakuambia wana dawa ya tatizo husika.. Wanakuwekea na namba za simu.... Hapo ukijichanganya tu umeliwa .
 
Mkuu hii kitu ni hatari sana


Mwaka juzi nlikuwa mwanza nikawa naumwa basi ndg yangu akaniletea tiba mbadala hiyo dawa nikaambiwa ninywe wakat nalala kusema kweli najuta mpk leo na sitokuja kutumia hizi dawa zao tena...toka nmezaliwa mpk nafikisha miaka 30+ nlikuwa nmewahi kutapika mara 1 tu lkn usiku nliyokunywa hiyo dawa nlitapika karibia mara 8 ndani ya saa moja mpk nikaishiwa nguvu.



Tuwe makini sana na hivi vitu jamani.
 
Deep from the roots: These people had Mastered the thing known as POWER OF CONVICING others are just tails.

Mtu alijifunza, kusoma na kuelewa NGUVU YA USHAWISHI na namna ya kuifanyia kazi aisee ni wa kuogopa sana. Mf. Trump, Kim na Maraisi wa mataifa makubwa, Pope Francis, Makadinali na Maaskofu wa nchi mbalimbali, Wanasiasa wa nchi mbalimbali na Tanzania, Wasanii(Diamond Platinum) na Viongozi mbalimbali wa Mashirika, Sekta Binafsi na Kijamii aisee wanafaidi sana.

Ndiyo sababu huwezi kukuta Mwanamke anafanya hii kitu sababu kiasili Nguvu yake/yao ya ushawishi kupitia mdomoni ni ndogo mno zaidi wamejaaliwa kimatendo zaidi, wakati kwa kila Mwanaume Rijali hata awe mtoto mdogo anakua nayo hii nguvu.

Na anayejijua na kuifahamu namna na jinsi ya kuitumia hii Nguvu, utampenda hata kuongea nae na huwa wanapitaga mbali sana wakiona shughuli kama hizo sababu wanajua kwamba Nguvu zinazidiana.

Namshkuru Mungu sana kwa kuniwezesha kujua haya mambo na kunikutanisha na wajuzi na huwa naenjoy sana ninapokua naona, kusikia au hata kupata nafasi ya kuongea au kutoa mchango wangu kuhusu jambo hili au hata mambo mengine sababu najua ni lazima niitumie Nguvu yangu ya ushawishi vizuri.
 
Huyo wa kibamia nimemuonea huruma sana hahahahaaaa! Ila tiba za hivyo cyo dar tu hata maeneo mbalimbali mikoani sana sana kwenye mabasi ya abiria yan hadi wanakera!
 
Deep from the roots: These people had Mastered the thing known as POWER OF CONVICING others are just tails.

Mtu alijifunza, kusoma na kuelewa NGUVU YA USHAWISHI na namna ya kuifanyia kazi aisee ni wa kuogopa sana. Mf. Trump, Kim na Maraisi wa mataifa makubwa, Pope Francis, Makadinali na Maaskofu wa nchi mbalimbali, Wanasiasa wa nchi mbalimbali na Tanzania, Wasanii(Diamond Platinum) na Viongozi mbalimbali wa Mashirika, Sekta Binafsi na Kijamii aisee wanafaidi sana.

Ndiyo sababu huwezi kukuta Mwanamke anafanya hii kitu sababu kiasili Nguvu yake/yao ya ushawishi kupitia mdomoni ni ndogo mno zaidi wamejaaliwa kimatendo zaidi, wakati kwa kila Mwanaume Rijali hata awe mtoto mdogo anakua nayo hii nguvu.

Na anayejijua na kuifahamu namna na jinsi ya kuitumia hii Nguvu, utampenda hata kuongea nae na huwa wanapitaga mbali sana wakiona shughuli kama hizo sababu wanajua kwamba Nguvu zinazidiana.

Namshkuru Mungu sana kwa kuniwezesha kujua haya mambo na kunikutanisha na wajuzi na huwa naenjoy sana ninapokua naona, kusikia au hata kupata nafasi ya kuongea au kutoa mchango wangu kuhusu jambo hili au hata mambo mengine sababu najua ni lazima niitumie Nguvu yangu ya ushawishi vizuri.
Kuna kitu nimejifunza hapa
 
Dah nimecheka sana,kwa hiyo unataka kuniambia jamaa anatiririka maneno kama General Galadudu wa JF?
 
Back
Top Bottom