Street Hustler
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,146
- 4,194
Habari wajuzi wa Mambo,
Leo nimekuja hapa kisiasa kidogo nia ni kuwakumbusha vijana kuwa sisi ndio wengi na ndio chachu ya maendeleo katika taifa letu lakini sisi ndio wa kwanza kulalamika ilhali sisi ndio wenye nguvu ya kuamua Jambo na likawa.
Binafsi naona huu uchaguzi 2020 unatufaa sisi vijana kujitoa na kwenda kutengeneza Sera nzuri za kuliokoa taifa letu n muda wa kuwaondoa watu wasiostahili kuwawakilisha wanajamii kwanza wanapoteza nguvu ya jamii husika kwa wananchi wao pili wanalifanya taifa lizidi kuwa maskini.
Tujiulize tunashindwa kuwaunganisha vijana wetu pamoja na serikali kutatua changamoto zinazowazunguka, tunashindwa kubuni miradi/huduma za kuwafanya akina mama wapate mazingira mazuri ya nyumban na shughuli ndogondogo binafsi?
Nimeanza kufikiria ipo haja yakuomba uwakilishi katika jamii yangu katika ngazi ya ubunge Sina visenti Wala mahela but I know ninakitu special Cha kuibadili jamii yangu kupitia changamoto zinazowazunguka bila kusumbuana na mipango ya serikali.
Nakusudia kuomba ridhaa hii kupitia Chamà Cha Mapinduzi katika Jimbo Moja hapa Tanzania.
Nakaribisha maoni kuhusu Vijana na siasa za Tanzania hasa katika kubadilisha fikra na ziwe za kufanya kazi na kutatua changamoto karibuni.
Leo nimekuja hapa kisiasa kidogo nia ni kuwakumbusha vijana kuwa sisi ndio wengi na ndio chachu ya maendeleo katika taifa letu lakini sisi ndio wa kwanza kulalamika ilhali sisi ndio wenye nguvu ya kuamua Jambo na likawa.
Binafsi naona huu uchaguzi 2020 unatufaa sisi vijana kujitoa na kwenda kutengeneza Sera nzuri za kuliokoa taifa letu n muda wa kuwaondoa watu wasiostahili kuwawakilisha wanajamii kwanza wanapoteza nguvu ya jamii husika kwa wananchi wao pili wanalifanya taifa lizidi kuwa maskini.
Tujiulize tunashindwa kuwaunganisha vijana wetu pamoja na serikali kutatua changamoto zinazowazunguka, tunashindwa kubuni miradi/huduma za kuwafanya akina mama wapate mazingira mazuri ya nyumban na shughuli ndogondogo binafsi?
Nimeanza kufikiria ipo haja yakuomba uwakilishi katika jamii yangu katika ngazi ya ubunge Sina visenti Wala mahela but I know ninakitu special Cha kuibadili jamii yangu kupitia changamoto zinazowazunguka bila kusumbuana na mipango ya serikali.
Nakusudia kuomba ridhaa hii kupitia Chamà Cha Mapinduzi katika Jimbo Moja hapa Tanzania.
Nakaribisha maoni kuhusu Vijana na siasa za Tanzania hasa katika kubadilisha fikra na ziwe za kufanya kazi na kutatua changamoto karibuni.