VIJANA TUSAKE PESA KUFAIDI MEMA YA DUNIA

VIJANA TUSAKE PESA KUFAIDI MEMA YA DUNIA

Acha wazee wamalizie uzee wao vizuri wana stress za kutumikia kwenye nchi hii huku wao wakiwa waadilifu sasa hivi akina Bashite wameshika hatamu wanamwaga fweza tu!
 
Sahihi kabisa. Imeandikwa “mwanaume atakula kwa jasho lake”
Wakati huo huo waswahili nao wanatueleza kila mbuzi anakula kulingana na urefu wa kamba yake

Ama kweli vijana ndio tunaojionea taabu. Tutafute tu pesa haya tutayahimiri
 
Hapo kondoa ni hatari nimetia nanga kwa mtoto WA kirangi hapo
😂😂😂😂😂 umeona ehhh, ndio maana namshangaa jamaa anaona Mzee kaopoa wakati wa kawaida sana Mzee aliyeopoa alikuwa Mengi kidogo na Kapuya.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona ehhh, ndio maana namshangaa jamaa anaona Mzee kaopoa wakati wa kawaida sana Mzee aliyeopoa alikuwa Mengi kidogo na Kapuya.
Post yangu haihusiana na ulimbwende mkuu ukisoma vizuri utagundua nimezungumzia issues in general hasa kigezo cha umri wa kuoa na kuolewa hilo la urembo achana nalo
 
Wanawake ni watu wenye ujasiri wa ajabu Sana kuliko tunavyo amini.ni ujasiri wa jinsia yetu ya kiume unatupa moyo ila kimsingi tulitakiwa kuwakimbia
 
Back
Top Bottom