VIJANA TUSAKE PESA KUFAIDI MEMA YA DUNIA

VIJANA TUSAKE PESA KUFAIDI MEMA YA DUNIA

MR TOXIC

Senior Member
Joined
Jun 4, 2019
Posts
190
Reaction score
525
Habari vijana wenzangu wa JF. Nimeona nije hapa nizungumze jambo moja kwa ufupi sana.
Nadhani mnafahamu fika mchuano uliopo kati yetu na wazee wetu hasa tunapokuja kwenye suala la kujinyakulia vigori. Ni dhahiri shahiri tumezidiwa kete kama siyo kupotezwa kabisa maana wenzetu wamejipanga kweli kweli na wanazidi kutupiga bao siku hadi siku.

Sasa niwaombe vijana wenzangu tutafute pesa kujiimarisha kiuchumi ndio mwarobaini wa hili tatizo. Kama tukizubaa basi tutarajie kupigwa chenga nyingi za mwili na magoli ya visigino kama inavyoonekana hapa pichani

IMG-20190605-WA0006.jpeg
IMG-20190605-WA0005.jpeg
 
Doh kwei raia tumetofautia kwenye kuangalia quality ya hawa viumbe “K”, mbona wa kawaida sana Mzee ukienda Mbulu au Hanang mixer Kondoa si utakimbia Mkuu. Maana huyu wa Mzee hata kama huna kitu kwa haya maeneo unampata kawaida.
 
Hii habari ya kusaka amafaranga mkiwa na nguvu tunaisema sana kwa vijana msiidhalau, vinginevyo pesa ndiyo sabuni ya roho.
 
Hela za kustaafu hizo. Zikiisha anarudi kwa vijana wenzie.
 
Aisee hiyo kiss sasa kaziba pumzi zote, utadhani anampulizia pumzi ya uhai kha
 
Ukioa vibinti vya aina hiyo huku umri ukiwa umekutupa mkono, basi siku za kuishi hapa duniani nazo hupungua kwa kasi ya ajabu.
 
Hivi K ndio mema ya dunia?! Akili nyingine bwana.
K ndicho kituo cha magari makubwa mkuu nadhani hata wewe unalifahamu hilo labda kama mwenzetu unapungukiwa na kitu fulani
 
Waacheni wazee wafaidi jamani. Wazee wana raha yao.
 
Doh kwei raia tumetofautia kwenye kuangalia quality ya hawa viumbe “K”, mbona wa kawaida sana Mzee ukienda Mbulu au Hanang mixer Kondoa si utakimbia Mkuu. Maana huyu wa Mzee hata kama huna kitu kwa haya maeneo unampata kawaida.
Hapo kondoa ni hatari nimetia nanga kwa mtoto WA kirangi hapo
 
Back
Top Bottom