point zero
Member
- Feb 23, 2019
- 32
- 34
Ndugu zangu leo napenda niwakumbushe vijana wote tuliotoka kijijini na kwenda kutafuta maisha mjini
Tumekuja mjini kutafuta maisha tumewaacha wazazi wetu katka hali ngumu ya umaskini na ufukala
Nguvu zao zimewaishia kwa ajili ya umri na kututafutia sisi chakura na maradhi tulipokua watoto
Hivyo basi ni wajibu wetu sisi Sasa kuwatunza kwa chochote tukipatacho kiwe kikubwa au kidogo
Siku hizi vijiji vingi simu za mkononi zimefika unaweza kuwafanyia hata miamala ya fedha kupitia simu nao wakapata pesa kidogo kwaajili ya mahitaji yao
Wazazi hawa hawahitaji mambo makubwaa kama tunavyofikiri
Lahasha!! Wao wanaridhika kwa chochote kile kutoka kwa mtoto wao
kuna wakati wanaridhika hata kuisikia sauti yako tu hebu tizama ni pendo la namna gani hili!!
Ikiwa utaweza kuwatumia cash elf 5,000/= basi watatoa cash sh 3500/=
Pesa hiyo kwako ni ndogo sana na ndio maana unaizarau unaiona haitoshi ila kwao ni nyingi mno
3500/= wataweza kununua sabuni ya kipande, mafuta ya kupaka, chumvi, kiberìti na chenchi kidogo inabaki ya kununulia panadol
Rafiki maombi ya wazazi hawa juu yako ni mibaraka mikubwa sana maana mungu alituapia na kusema waheshimu baba yako na mama yako siku zako zipate kua nyingi na heri duniani
Hivyo nawasihii tuwakumbuke na kuwatunza wazazi wetu ili heri za mungu ziwe juu yetu.
Nawakilisha
Tumekuja mjini kutafuta maisha tumewaacha wazazi wetu katka hali ngumu ya umaskini na ufukalaNguvu zao zimewaishia kwa ajili ya umri na kututafutia sisi chakura na maradhi tulipokua watoto
Hivyo basi ni wajibu wetu sisi Sasa kuwatunza kwa chochote tukipatacho kiwe kikubwa au kidogo
Siku hizi vijiji vingi simu za mkononi zimefika unaweza kuwafanyia hata miamala ya fedha kupitia simu nao wakapata pesa kidogo kwaajili ya mahitaji yao
Wazazi hawa hawahitaji mambo makubwaa kama tunavyofikiri
Lahasha!! Wao wanaridhika kwa chochote kile kutoka kwa mtoto wao
kuna wakati wanaridhika hata kuisikia sauti yako tu hebu tizama ni pendo la namna gani hili!!
Ikiwa utaweza kuwatumia cash elf 5,000/= basi watatoa cash sh 3500/=
Pesa hiyo kwako ni ndogo sana na ndio maana unaizarau unaiona haitoshi ila kwao ni nyingi mno
3500/= wataweza kununua sabuni ya kipande, mafuta ya kupaka, chumvi, kiberìti na chenchi kidogo inabaki ya kununulia panadol
Rafiki maombi ya wazazi hawa juu yako ni mibaraka mikubwa sana maana mungu alituapia na kusema waheshimu baba yako na mama yako siku zako zipate kua nyingi na heri duniani
Hivyo nawasihii tuwakumbuke na kuwatunza wazazi wetu ili heri za mungu ziwe juu yetu.
Nawakilisha