Vijana tujiunge vyama vya upinzani

Vijana tujiunge vyama vya upinzani

Makaro

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
615
Reaction score
136
Vijana wenzangu,

Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.
Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Silinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.
 
Kweli tupu!Vijana ndio nguzo ya nchi hii inayobomoka/bomolewa
Vyama vya upinzani vinawasubiri kwa hamu kuendeleza mapambano dhidi ya upimbi ulojaa nchini.
 
Vijana wenzangu,

Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.
Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Lusinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.

Tangu lini Lusinde akawa mpinzani? uliona mwenyewe alivyowatetea mafisadi wa Escrow!
 
Lusinde tena?

ebu edit hapo juu otherwise ni ujumbe mzuri
 
Vijana wenzangu,Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Silinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.
Hii ni kweli kaka, lakini tatizo vijana tunaongeka kwa milioni kumi unakubali kujitoa ama kushindwa. Natamani sana nigombee uongozi mwaka ujao, but shule yangu ndo itakuwa imekolea. Nko nje ya nchi, but nkimaliza masomo yangu tu, natangaza nia kupitia upinzani. Hawa CCM wezi wote, hata wazazi wangu nilishawambia, sitoi msaada wowote home kama wataendelea kushabikia upinzani na walinielewa, naona wanashawishi wazee wengine kijijini kuhama CCM. Niliona kuwaweza hawa wazee, ni kuwa kama wahisani kugoma kutoa matumizi (misaada) ili akili iwaingie. Mabadiliko ni lazima. Kamanda Kaswahili wa jimbo la Buchosa, nadhani 2020, ntakuja huko pia, maana naona unamchezea Tizeba tu, wananchi wanapiga kula, then zinapotelea hewani, unakubali kuwa umeshindwa kumbe siyo.
 
Hapa Ubungo Kibo kuna vijana wapo magambani kisa hongo ya mbunye kuna jimama linawezesha upatikanaji wa mbunye hlo mama laitwa F...da
 
Vijana hawahitaji kuambiwa nini cha kufanya. We subiri mziki mnene utakavyoshuka 2015.
CCM yenyewe ilishakufa kitambo, imebaki historia tu! Magamba watapoteza sana fedha mwakani.
 
Wengi wako upinzani, tatizo hawajitokezi kupiga kura
 
Mkuu ni vyema lakini tusisubiri mpaka wakati sa uchaguzi bali tuanze taratibu kwakuwabadirisha na kutoa elimu kwa raïa wema.
 
Samahani, nilikuwa namaanisha Mhe. Silinde

Mkuu shida ya Tanzania sio kuwa na vijana

Na wala vigezo vya uongozi sio ujana

Kuna wazee wa kuigwa mfano kwa kazi wanayoifanyia taifa hili kama vile Warioba

Kuna vijana wa hovyo na wala rushwa kama Ngeleja

Kuna vijana wa ajabu kabisa kama kina Januari na Nape

Cha kuelewa ni kwamba tunataka serious political parties kuweza kututoa hapa tulipo...
 
Vijana wenzangu,

Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.
Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Silinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.

Mkuu jaribu kuwa precise. Hali ilivyo kwa sasa itabidi watu wanaotokea ukanda wa bahari tusiwahesabu sana maana inaonekana kwao CCM ndiyo mkombozi wao! Kwa wengine itabidi tuache kukimbilia hapa JF tu! Kwanza vitendo ndiyo baadae uje hapa JF kutueleza umefanya nini. Tutaendelea kuwa wataalam wa JF na huku inakula kwetu!
 
kila mtu atumie muda wake kumuelimisha kijana mwenzake kila mtu ajitahidi kuelimisha vijana zaidi ya 20 kwa kwezi ila wezi tumesha waweka kati tusubiri 2015
 
Back
Top Bottom