Makaro
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 615
- 136
Vijana wenzangu,
Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.
Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Silinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.
Popote ulipo, ndani ya Tanzania ama nje ya Tanzania. Tafuta Chama cho chote cha Upinzani kujiunga nacho na ugombee uongozi. Kuendelea kuishabikia CCM ni kuendeleza umaskini na rasilimali za Taifa kuibiwa na kikundi kidogo. Jana uliona mwenyewe jinsi Mhe. Rais amabye ni mwenyekiti wa Taifa wa CCM alivyowatetea kwa nguvu zote mafisadi wa mali za Umma.
Tuige mifano ya akina Zitto, Machali, Kafulilla, Mnyika,Silinde…..Kuimarisha hivyo vyama ili ikifika mwakani wakati wa uchaguzi kila chama kwa sehemu yake ama mwavuli wa upinzani visimamishe wagombea kila sehemu na tuweze kuiondoa ccm madarakani. Tutaendelea kulialia hadi lini? Nguvu, Nia na Uwezo tunao. Tuamke wakati ndiyo huu. Wananchi wanatusubiri, Wazee wamechoka.