Vijana tujitahidi kuwa nadhifu

Vijana tujitahidi kuwa nadhifu

Shepherd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2012
Posts
2,428
Reaction score
1,659
Wimbi la vijana kuvaa mlegezo limeongezeka huku nguo nyingi za ndani zikiwa sio nadhifu.Hawa vijana tuwafanyeje wajielewe.
 
afandekifimbo napendekeza JKT ichukue kuanzia form four akimaliza tu miezi 6 ya kusubiri matokeo waende JKT.
 
Hao vijana hawapendi mkuu hebu wachunguze vyema!Wengi wao hawana ajira na wamekata tamaa!
 
Back
Top Bottom