Vijana tuamke na tuelimike

Vijana tuamke na tuelimike

steveson manumbu

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2014
Posts
887
Reaction score
178
"Natafuta kazi, Nina shada ya udhamili ya Kilimo"
Tunasoma kutafuta CV za kusomewa kwenye misiba yetu au za kukabiliana na mazingira yetu, Kijana tambua uwezo wako wa ndani kwanza ndipo ukauongezee elimu, sio kusoma na kuwa na vyeti na shahada nyingi zisizo kusaidia.
Tusisome kwa mkumbo
 
Kujiajili sio mchezo mchezo mkuu hujiulizi kwann wanaosema watu wajiajili wao wameajiluwa? Mfumo wa elimu nchini ndio sababu kubwa vyuo vinavyookoa watu kwa sasa angalau ni veta
 
Nikweli mkuu mi nahisi huwa tunasoma kutoa ujinga koz wasomi ni wengi ajira ndogo Tzania inaelekea wapi tuamke
 
Back
Top Bottom