kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Kuna wanawake wengi katika nchi za wenzetu hizi baada ya kuona pesa imekuwa ngumu kupata wameingia kwenye biashara ya kuzisaka kwa njia ya udanganyifu kijana mwenzangu ambaye unaishi USA , Canada , na nchi zingine za wazungu tambua uku mwanamke ni mfalme.
Ukiona mwanamke yeyote wa kizungu au mweusi au wataifa lolote ambaye anaishi huku ameanza shobo zake and you don’t her.
Fikiria mara laki mbili kabla ya kuchukuwa maamuzi ya kuteleza naye
Utakuja kunishukuru. Wanawake wa huku hasa wazungu wamekuwa na tabia ya kuzaa na wanaume weusi alafu wanaamua kukuacha kwa kesi yeyote ile ndugu yangu tambua hapo umekwisha.
Kama una nyumba ambayo umenunua kwa pesa zako nyumba hiyo sio yako tena na kwenye mshahara wako kuna nusu yake. Kwa hiyo wanawake wengi wa huku wamekuwa na mchezo huo sana baada ya kuona maisha yamekuwa magumu kwa sasa wanaishi kwa style hiyo wanaume wengi weusi huku wamekuwa homeless sababu kubwa ni wanawake wao jifanye super star.
Nakushauri kijana mwenzangu ukitaka kuoa nenda Afrika tu kutafuta mwanamke ambaye anaweza kuwa mke au tafuta mwanamke huku mwenye akili zake.
Ukiona mwanamke yeyote wa kizungu au mweusi au wataifa lolote ambaye anaishi huku ameanza shobo zake and you don’t her.
Fikiria mara laki mbili kabla ya kuchukuwa maamuzi ya kuteleza naye
Utakuja kunishukuru. Wanawake wa huku hasa wazungu wamekuwa na tabia ya kuzaa na wanaume weusi alafu wanaamua kukuacha kwa kesi yeyote ile ndugu yangu tambua hapo umekwisha.
Kama una nyumba ambayo umenunua kwa pesa zako nyumba hiyo sio yako tena na kwenye mshahara wako kuna nusu yake. Kwa hiyo wanawake wengi wa huku wamekuwa na mchezo huo sana baada ya kuona maisha yamekuwa magumu kwa sasa wanaishi kwa style hiyo wanaume wengi weusi huku wamekuwa homeless sababu kubwa ni wanawake wao jifanye super star.
Nakushauri kijana mwenzangu ukitaka kuoa nenda Afrika tu kutafuta mwanamke ambaye anaweza kuwa mke au tafuta mwanamke huku mwenye akili zake.