Yohimbe bark
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 2,842
- 7,250
Sasa mkuu pisi ya masaki utakutana nayo wapi wakati wewe maisha magumu unakaa tandale? Maisha yana classes mkuu unaishi kulingana na level ya class yako.Umejikinai vbaya mno... Mm ni mbishi, hlf ni kiburi. Hizo za Masaki nishazila mno... Unaweza kua smart kichwani ila usiwe na hla kwa wakt huo kwan mipango haijaiva... Ila ukawa nazo mbeleni
Kwani siwezi kwenda Mlimani City au Kwa mkapa ku check game na nikakutana nayo huko?Sasa mkuu pisi ya masaki utakutana nayo wapi wakati wewe maisha magumu unakaa tandale? Maisha yana classes mkuu unaishi kulingana na level ya class yako.
Ok fine unaweza kukutana nae huko na akakupa namba vizuri tuu, ehee baada ya hapo mawasiliano yataanza, utaweza kumudu outings za hapa na pale plus mizinga ya hapa na pale mpaka siku atakapoamua kukutunuku? Au mwenzetu ukishachukua namba kesho yake mtoto anaileta getto?Kwani siwezi kwenda Mlimani City au Kwa mkapa ku check game na nikakutana nayo huko?
Ndo mnapofeli,nani alikuambia ukishachukua no kinachofuata ni mfululizo wa outings??? Nadhan ndipo nilipowapiga gap nyie nice menOk fine unaweza kukutana nae huko na akakupa namba vizuri tuu, ehee baada ya hapo mawasiliano yataanza, utaweza kumudu outings za hapa na pale plus mizinga ya hapa na pale mpaka siku atakapoamua kukutunuku? Au mwenzetu ukishachukua namba kesho yake mtoto anaileta getto?
Sawa.Ndo mnapofeli,nani alikuambia ukishachukua no kinachofuata ni mfululizo wa outings??? Nadhan ndipo nilipowapiga gap nyie nice men
Waambie mkuu, mjini pisi kali zinataka huduma sio uhendisam na ubishoo that's why most of them wanadate na vibabu ili wapate huduma, na utakuaje na maisha magumu uwe handsome??? Uhandsome unahitaji matunzo.
Ok fine unaweza kukutana nae huko na akakupa namba vizuri tuu, ehee baada ya hapo mawasiliano yataanza, utaweza kumudu outings za hapa na pale plus mizinga ya hapa na pale mpaka siku atakapoamua kukutunuku? Au mwenzetu ukishachukua namba kesho yake mtoto anaileta getto?
SConcept ya Handsomeboy ni below 30, Abobe 30 Anatafutwa Gentleman.
Sasa ukiwa Kapuku, Pisi kali unaonana nazo wapi kwanza, Kwenye dala dala au bajaji?
Haoni kama hao nao ni choka mbaya tu kama yeye, utofauti hapo unakua mawigi tu.
Tofautisha pisi kali na demu wa kishua. Anaweza kuwa wa kishua ila asiwe pisi Kali. Na anaweza kua choka mbaya ila akawa bonge la pisi.Concept ya Handsomeboy ni below 30, Abobe 30 Anatafutwa Gentleman.
Sasa ukiwa Kapuku, Pisi kali unaonana nazo wapi kwanza, Kwenye dala dala au bajaji?
Haoni kama hao nao ni choka mbaya tu kama yeye, utofauti hapo unakua mawigi tu.
Sasa ku-request no ishu ya kukutetemesha kweli?Anataka ampandishe Mwendokasi, Wakati wenzakw wana request. 🤣
Wewe unapatia wapi??Mara ooh sins chapaa mtoto mzuri awezi nikubali,mara ooh sina kitu
Hebu acha nitoe ushuhuda wangu binafsi.mimi kuna time sikuwa naela, nilikuwa na life gumu kidogo
Nilipata offers nyingi kuotka kwa wadada wa kawaida mno ambao sikuwapenda.so nilidecline ofa zao
Nilijiamin ingawasikua na ela
Niliamini kwenye kujiamini na akili
So nilikiwa natongoza pisi kali tu na nilikua nakojolea pisi kali tupu
Why nilifanikiwa?
Kujiamini. Just that
Sikulalana mwanamke kwakua Nina nyege
Nililala namwanamke kwa kua alikuapisi Kali
Mbona mnakuamalofa vijan?
Km mm niliweza why ushindwee?
Why unajiona so cheap to thay point?
Change, be focused
kwanini tandaleMkuu ukishakua smart kichwani, lazima utakua na hela tuuu. Au wewe mwenzetu usmart wako ni kwenye kumbato na kutongoza tuu?
Yaani huna hela, huna mchongo, Huna biashara, Unakaa kwenye geto lako Tandale unaleta kujiamini kisenge uvute pisi kali inayo kaa masaki? Hell NO.
Utakula pisi kali ndio lkn n hizo hizo zinazokaa Tandale, Na Mnafanana kiwango cha mawazo na uchumi
😅 kwani vitoto vya afu mbili vina shida ganiPoor Brain huu uzi sio wetu, usijaribu kusogeza pua hapa.
Hawa madogo wanaongelea vitoto vya afu mbili.
Mkuu mimi nahisi haelewi maanq ya pisi kali. Mayb anamaanisha videm vya chuo au form four ambavyo bado vinategemea wazazi.Anataka ampandishe Mwendokasi, Wakati wenzakw wana request. 🤣
Pisi kali ni zile ambazo unagombania na kina Lugumi, mawaziri, wabunge, celebrities ukiweza kucompete nao good for you. Kuna madem kama nana dolls huyu dem kapewa hadi mjengo na maboss yupo mwingine anaitwa yammy kanunuliwa Lc mpya hizi wanazoendesha mawaziri unadhani dem kama huyu utampata handsome boy masikini?Concept ya Handsomeboy ni below 30, Abobe 30 Anatafutwa Gentleman.
Sasa ukiwa Kapuku, Pisi kali unaonana nazo wapi kwanza, Kwenye dala dala au bajaji?
Haoni kama hao nao ni choka mbaya tu kama yeye, utofauti hapo unakua mawigi tu.
Itoshe kusema litutumbwe ww bado kijana mdogo. Na hizo pisi kali unaosema wanakupenda kwasababu ya akili na kujiamini kwako wanaume weng tushapitia.Poor Brain huu uzi sio wetu, usijaribu kusogeza pua hapa.
Hawa madogo wanaongelea vitoto vya afu mbili.
Havina hela, vinataka minyanduano na haviiwezi.😅 kwani vitoto vya afu mbili vina shida gani