Panizo
Member
- Jul 1, 2011
- 89
- 35
shida wanafikiri tupo zama vita baridi na propaganda labda kilichobakia ni kuiba kura nothing more nothing lessH
Hizo asilimia wala siyo Magufuli aliyeziweka,ukiwa muongo inabidi uwe na kumbukumbu hasa.Umewahi kufikiria huko Halmashauri wanayo hayo mapato ya kutolea mikopo?Hizo takwimu za idadi ya ajira zinaaminika kwa kiasi gani?NBS wamezithibitisha?
Hatudanganyike na hizi propaganda za CCM,kuna mambo mnamsifia nayo Rais wakati siyo mhusika wake na kwa kufanya hivyo mnamdhalilisha.