Vijana hatuandamani

Vijana hatuandamani

Hatuandamani Vijana ambao tunaelewa umuhimu wa kutunza aman Vijana ambao tunaiwaza future ya maisha yetu na Tanzania yetu ambao tunaelimu na tunaelewa madhara ya maandamo ya vurugu kiuchumi na kijamii

Tupo katika kipindi kigumu Cha kutafuta Ajira na kuona kesho yetu tunaeshimu serikali juu ya mustakabali WA maisha yetu kiuchumi tuna imani awamu hii tunapata Ajira tunataishi katika nchi na sio wakimbizi na tutailinda nchi na vibaka wanaotumia maandamo kujifaidisha wao binafsi.
Nyerere aliacha ajira na kukiunga katika mapambano ya kupigania uhuru. Wewe unaubinafsi na hutofika popote, nchi inaliwa, watu wanakufa wewe unaleta hoja za kitoto hapa.
 
Hatuandamani Vijana ambao tunaelewa umuhimu wa kutunza aman Vijana ambao tunaiwaza future ya maisha yetu na Tanzania yetu ambao tunaelimu na tunaelewa madhara ya maandamo ya vurugu kiuchumi na kijamii

Tupo katika kipindi kigumu Cha kutafuta Ajira na kuona kesho yetu tunaeshimu serikali juu ya mustakabali WA maisha yetu kiuchumi tuna imani awamu hii tunapata Ajira tunataishi katika nchi na sio wakimbizi na tutailinda nchi na vibaka wanaotumia maandamo kujifaidisha wao binafsi.
Maliza kuharisha ukachukue buku saba sasa. Vijana wanaojielewa hawanaga upuuzi kama wa kwako.
 
Kiukweli kuandamana Kwa kuchoma mali za Umma na za binafsi siyo vizuri.kibanda changu Cha biashara kilichomwa moto na haki kuwa na bima.Kuandamana Kwa fujo siyo ustaarabu lakini viongozi wetu wajirekebishe kufanya mambo yanayochukiza wananchi
 
Tarehe 7&8 disemba utanunua unga na mchele,halafu 9/12 utaomba serikali wasizime mtandao Ili ushuhudie vurugu ukiwa ndani unakuna fungus
Siku hizi mnaogopa sana maandamano. Mwanzoni mlikuwa mnawakejeli tu vijana. Sasa msubiri wawanyooshe mpaka akili zenu ziwakae sawa. Kuhusu kununua unga na mchele kwenye hizo tarehe zako, that is non of your business.
 
Hatuandamani Vijana ambao tunaelewa umuhimu wa kutunza aman Vijana ambao tunaiwaza future ya maisha yetu na Tanzania yetu ambao tunaelimu na tunaelewa madhara ya maandamo ya vurugu kiuchumi na kijamii

Tupo katika kipindi kigumu Cha kutafuta Ajira na kuona kesho yetu tunaeshimu serikali juu ya mustakabali WA maisha yetu kiuchumi tuna imani awamu hii tunapata Ajira tunataishi katika nchi na sio wakimbizi na tutailinda nchi na vibaka wanaotumia maandamo kujifaidisha wao binafsi.



You are a fool
 
Back
Top Bottom