Vijana 15 wenye nguvu na ushawishi ktk CHADEMA


Mkuu, mbona unajipa kazi Mods!.
Nakushauri tu fungua forum yako uweke masharti yako! Hivi wewe ni nani humu JF mpaka upangie watu vitu vya kuongea? Kama upendi posts zangu zipotezee tu mkuu, JF ni huru sio ya CDM wala CCM au CUF, au ya mzee wako.
Unachotakiwa ni kufuata sheria na kanuni za JF halafu punguza porojo
 
Such a wonderful analysis japo niungane na wadau wengine kuhusu Mnyika John huyu jamaa kweli deserves to be the first in the list aisee he is very smart hata kama hana ushawishi ndani ya Chama ila yuko organised, focused, hana papara etc...... Yeye ni mfano wa kuigwa aiseee..... ningekushangaa sana ungemweka Godbless Lema kwenye hiyo list coz hana sifa yeyote ya kuwepo huko labda uandae list nyingine ya Vijana wenye ushawishi kwenye migomo na maandamano na mambo mengine yafananayo na hayo. Ila wenzie wamfundishe japo najua jamaa agoma kwa ubishi. Ila hii analysis imetulia big up..................
 


Je, Unamzungumzia Raisi gani wa Ujerumani ? Nani alikuambia nchi ya Ujerumani inaongozwa na Raisi ? ... tafathali acha kuwaongopea watu wazima !!

 
ahhhhh jamani hamjanitendea haki mimi!!!!!!!!!!! hamjaniweka hata wa mwisho????????
 

Udini mtupu.

Muulize Mbowe yaliyomkuta mara pale Zitto alipoamua na kuthubutu kugombea Uenyekiti wa taifa Chadema.
 
he! Mbona umeongea kinyumenyume!
 
Je, Unamzungumzia Raisi gani wa Ujerumani ? Nani alikuambia nchi ya Ujerumani inaongozwa na Raisi ? ... tafathali acha kuwaongopea watu wazima !!


Dogo kama huna data usiongee!
Ujerumani inayo Rais wake japo si mtendaji. Mtendaji mkuu ni Chancellor. Ila kaa ukijua Rais yupo.
Google that!
 
Udini mtupu.

Muulize Mbowe yaliyomkuta mara pale Zitto alipoamua na kuthubutu kugombea Uenyekiti wa taifa Chadema.

Unaijua dini yangu...!!!!!???
Umeangalia sababu lakini....!
Au ndo akili yako ipo barubaru kama jina lako!
 
Acha kuanza kugawa majembe ya chama, kama wewe unaona wana nguvu baki nayo moyoni coz kuanza kunamba inakatisha tamaa na wengine. CDM vijana kwa wazee wako fit, 4ur Info, CDM wamejipanga zaidi ya miaka 10 kupata mafanikio waliyo nayo leo so chama kipo focused bana
 
Haki ya Mungu ungejua navyofight kwa ajili ya CDM huku mtaani kwetu na popote nnapokwenda usingeacha kunitaja but all in all 2po pamoja.
 
Je, Unamzungumzia Raisi gani wa Ujerumani ? Nani alikuambia nchi ya Ujerumani inaongozwa na Raisi ? ... tafathali acha kuwaongopea watu wazima !!


Duh kweli wewe siyo mtu mzima, na kwa taarifa yako jamaa amepatia.
Kama ulikuwa hujui leo jua, ujerumani ina raisi na alishawahi kuja tanzania miaka kama 2,3 iliyopita.
Nenda google tafuta ujue mambo. Na kwa kukuongezea Israel nao wana raisi. Acha kuongea mambo ambayo hujui. Unamjua chancellor angela markel tu, yupo raisi pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…