Viitikio vipya vya chama kubwa CHADEMA

Viitikio vipya vya chama kubwa CHADEMA

Mabadilikoooooooo na chademaaaaaaa

nimeipenda hii
CHAAAAAAAAAAANGE!!

WITH CHADEEEEEEEEEMA!!!!, Halafu unamalizia, PEEEEEEEEEEEEEEEEPLES!, POOOOOOOOOWER!, GOD bless CDM na viongozi wake.
 
A very good kiitikio.
Sio kama magamba eti
'ARI MPYA,NGUVU MPYA kuiba,kusafirisha twiga na meno ya tembo,kuweka pesa uswiss,kubinafsisha police na mahakama serikalini,kuua upinzani,kusambaza ARV feki,n.k
 
Ngoja nitete kidoogo;

Kwamba chama kubwa lao CHADEMA ndio inayoleta mabaliko mengi humu ndani ya tz kuanzia bungeni hadi uraiani,so i suppose the word BY and not WITH katika muktadha wa maana ya kiitikio

Nakaribishwa kukosolewa na kuungwa mkono panapobidi!!!!

Mi nadhani Change...... With Chadema ni sahihi kwani Chadema ni Chombo / Chama cha kuwaunganisha wananchi kujiletea maendeleo na si chombo cha kuleta maendeleo bila kuwa na nguvu ya wananchi. With Chadema inaendana na dhana ya People's power meaning changes are within people with the help of chadema. Naunga hoja ya Change ...... With Chadema
 
VIITIKIO VIPYA VYA CHAMA KUBWA CHADEMA: "CHANGE...............WITH CHADEMA"
Muongozaji anasema "CHANGE" .....Watanzania wapenda maendeleo wanaitikia "WITH CHADEMA" KWA KISWAHILI: "MABADILIKO.................NA CHADEMA" Muongozaji atasema MABADILIKO Inaweza kuwa kwenye Elimu, Afya, Miundombinu, Kilimo, maendeleo kiuchumi na mengineyo............Kwa mwendo huu tutafika tu.....CHADEMA DAIMA ------2015
Jamani! Jamani! Huko vijijini kiingereza hakina nafasi. Salamu hizi ziwekwe katika kiswahili.Kwa nini isiwe:
KIONGOZI: Badilikaaaaaa!
WANANCHI:Na CHADEMAAAAAAAAAAA!
KIONGOZI: Uchumiiiiiiiiii!
WANANCHI:Badilishaaaaaaaa!
ELIMUUUUUUUU! Badilishaaaaaaaaa!
MAISHAAAAAAA! Badilishaaaaaaaa!
ETC ETC ETC
 
Tupo pamoja makamanda.Hii kazi yetu sote.Bado sijaona kama tumejitahidi.tusibweteke toa elimu kule kijijini ulikotoka .tuma text msg 10 kila mwezi
 
Au ilipaswa kuwa hv; CHANGE........BY CHADEMA na sio with chadema

Copy; wajuzi wote a lugha ya kiingereza na wengine hususan Ben Saanane

Wewe ndio unataka poteza maana. Wenzio wana maana mabadikiko yataletwa na wananchi pamoja na chadema ndio maana wametumia 'with' na sio yataletwa na chadema.
 
Last edited by a moderator:
Tupo pamoja makamanda.Hii kazi yetu sote.Bado sijaona kama tumejitahidi.tusibweteke toa elimu kule kijijini ulikotoka .tuma text msg 10 kila mwezi

Hata msg 1000 sio tatizo kiongozi,mpaka kieleweke.mm ,ww na yule ndo chachu ya mabadiliko kupitia chama kubwa CDM.2015 is nt far!
 
Ngoja nitete kidoogo;

Kwamba chama kubwa lao CHADEMA ndio inayoleta mabaliko mengi humu ndani ya tz kuanzia bungeni hadi uraiani,so i suppose the word BY and not WITH katika muktadha wa maana ya kiitikio

Nakaribishwa kukosolewa na kuungwa mkono panapobidi!!!!

na wewe umekosea so i supose sema i suport
 
VIITIKIO VIPYA VYA CHAMA KUBWA CHADEMA: "CHANGE...............WITH CHADEMA"
Muongozaji anasema "CHANGE" .....Watanzania wapenda maendeleo wanaitikia "WITH CHADEMA" KWA KISWAHILI: "MABADILIKO.................NA CHADEMA" Muongozaji atasema MABADILIKO Inaweza kuwa kwenye Elimu, Afya, Miundombinu, Kilimo, maendeleo kiuchumi na mengineyo............Kwa mwendo huu tutafika tu.....CHADEMA DAIMA ------2015

By new mdau mabadiliko ni fikra za mtu binafsi wewe ndiye utakae hamua any changes
 
Changeeees...... with CHADEMA.Pembe za ndovuuuu......?
 
Back
Top Bottom