Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Huyu Rwegasira ni Diwani wa CCM makongo juu
Ndio hao kutwa wanasifia humu kumbe wananufaika na mbogamboga wenzaoHuyu Rwegasira ni Diwani wa CCM makongo juu
Hii ya State Sponsored Robbery nimeielewa sana (SSR).Na hivi tumetoka kwenye uchaguzi,pesa hakuna,hizi kesi tutazisikia sana,hapo jamaa ataelewana na DPP,atalipa 400M,kesi kwisha,this is totally state sponsored robbery
Hii kampuni walikua wanatengeneza vinywaji gani? Ndo naiskia leo.
Huyu Rwegasira ni Diwani wa CCM makongo juu
Mgombea wao si alisema atujui ki zungu...unamsahihisha ya nini?Kiinglish kigumu! Not I am I right? but am I right? Kuwa makini!
Sawa mkuu, nimekuerewa!! Ila kesi ya uhujumu uchumi bado iko palepale!! Utangangania Keko mpaka uote sugu za makalio! Umeerewa?Mgombea wao si alisema atujui ki zungu...unamsahihisha ya nini?
Am I rightRunning means an outright pleading guilty!! I'm I right?
Mzee Baba Daily AnasemaHii kampuni walikua wanatengeneza vinywaji gani? Ndo naiskia leo.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐คฃ๐๐Bado bunge la bajeti, dealers wa vinywaji wajiandae kufunga maduka.
Wataelewa TuMakusanyo yameanza
Anointed Holly Man (Mpakwa Mafuta Wa Bwana)Kampuni ya Rugemalira