Vigogo wa Chama cha Walimu (CWT) waburuzwa Mahakamani Kisutu kwa ufisadi

Hasara ya milion 13? au ni bilioni 13? Takukuru wanapoteza muda wao sasa
 
Wanaofungwa ni wale wanaoiba Nyanya Sokoni kina Kigwa no ni Waheshimiwa
 
Kila siku nasema CWT ni janga kubwa sanaaa, na kama ni aina ya ugonjwa basi ile CANCER ya moyo.

Halafu hicho kiwango cha billion13 nadhani kuna typing error, watakua wameacha sifuri moja.
Hao ni makada wa ccm,uwizi chamani ni sunna
 
Nilisha wah sema, Sjui walimu wanakwama wapi! Hichi CHAMA CHA WAPIGAJI (CWT), wakipinge, wanakusanya mabilion, nlishangaa kuona Mwalimu mmoja alifariki af CWT wakatoa bando mbili za bati, wakat mpaka anafaliki alikua na miaka 17 kazini anakatwa na CWT, chama hichi kifutwe na viongozi wakaguliwe, na hela zitakazo patkana zirudishwe kwa walimu kupitia akaunt zao, na wafanyakaz wote warud TUCTA, na ndio kiwe chama kimoja tu kwa wafanyakazi wote, af makato yawe 0.5%, na kiwe kinarudidha asilimia ya faida kwa wafanyakazi wachangiaji kila mwaka kupitia mirad itakayo buni, mfano kujenga majengo na kukodisha, na sio ujinga unaoendelea.
 
SASA 13m, si wangeitwa wajieleze.....then waambiwe walipe......nadhani kuna typing error hapa....only 13m...sio 130 kweli?
 
Kwani kwenda Cape Verde ni kosa? Au kosa ni kwa sababu kulikua na mechi? Bado maelezo hayako clear
 
True! Af matumizi ya hayo magari. Si yakiofis, kwanza yanalala nyumbani kwa makatubu, na wanayatumia kifamilia zaid na sio kiofis, af mafuta nihela za walimu! Inasikitisha sana! Yana paki had bar !!
 
Af ukitaka kujua kua CWT ni kichaka! Jiulize tena kwanini hawakusitisha makato yao angalau kwa kipindi cha CORONA kama njia ya kuwapa pole Walimu kwa wakat huo mgumu.
 
Hii kesi ina walakini nimeshangaa Takukuru imekomaa na mil 13. Why wasivalie njuga ripoti za CAG
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…