Rais mstaafu Mkapa anatarajiwa kufungua jina jipya la DCB commercial bank leo pale Magomeni. Hajarudi?
Kwani Lowasa ni waziri mkuu msitaafu au?
Rais mstaafu Mkapa anatarajiwa kufungua jina jipya la DCB commercial bank leo pale Magomeni. Hajarudi?
Bank imebadili jina? Nao wanakwepa kodi?
Hapo umelonga kweli mtu wangu! ila mikakati yote tutaipata tu hata kama wangefanyia mikutano yao chini ya ardhi. Watarudi hapa bongo na watatukuta tu.Wemeenda kumsimika Membe kwa chifu wao Obama kama raisi ajaye wa Tz na yeye aanza kuwekewa uswiss 10 % za gesi kwa ajili ya kampeni za uchaguzi ujao.
Ni kosa kumtukuza hivyo kwani ukweli ni kuwa yeye alikuwa Waziri mkuu mwizi ndiyo maana alitimliwa na wala si kustaafu.ndivyo wanavyomuita vyombo vya habari
mnisameheNatamani mareakani ipigwe bomu
Usiangike ndugu......Muungano utakuwa umekufa kama Watanzania wakipenda ...hivyo utakuwa Mtanganyika au Mzanzibar au Mpemba inategemea unatokea upande upi....sisi Wanyasa tunaweza kuwa Wamalawi kipindi hicho...Eti nchimbi, sitta, migiro nk mmoja wao akiwa raisi naukana u Tanzania