Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 228
Awali ya yote nimefurahishwa na maamuzi ya vijana wa Arumeru - Heko!
Well,
Don Mkapa Rais Mstaafu alikuwepo, Ufunguzi na Ufungaji.
Premier Waziri Mstaafu Edo Lowassa alikuwepo.
Achilia mbali kina watukanaji Lusinde,
Kina wabwatukaji Wassira
na kampani yao yote waliokuwa wanamnadi 'Kamata Mwizi Meen' aka 'Sioni'.
Kwa mwendo huu, licha ya masterplan ya wizi ambao huwa wanafanya, this is the begining of the end.
People's
Well,
Don Mkapa Rais Mstaafu alikuwepo, Ufunguzi na Ufungaji.
Premier Waziri Mstaafu Edo Lowassa alikuwepo.
Achilia mbali kina watukanaji Lusinde,
Kina wabwatukaji Wassira
na kampani yao yote waliokuwa wanamnadi 'Kamata Mwizi Meen' aka 'Sioni'.
Kwa mwendo huu, licha ya masterplan ya wizi ambao huwa wanafanya, this is the begining of the end.
People's