Vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi

Vigezo vya kujiunga na jeshi la polisi

gobraco

Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
54
Reaction score
22
SIFA ZA MWOMBAJI

1. Awe Mtanzania kwa kuzaliwa.
2. Awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 25.
3. Awe amehitimu chuo mwaka wa masomo 2013/2014 tu.
4. Awe na tabia njema.
5. Asiwe na kumbukumbu za kutenda uhalifu.
6. Awe na afya njema[kimwili na kiakili]
7. Awe hajaoa/hajaolewa au kuwa na mtoto.
8. Asiwe na alama za kuchora mwilini[tatuu].
9. Awe na urefu usiopungua sentimita 155.
10. Asiwe mtumiaji wa madawa ya kulevya.
11. Awe hajaajiriwa na idara nyingine Serikalini.
12. Awe tayari kuhudhuria mafunzo ya awali ya Polisi.
13. Awe tayari kufanya kazi popote ndani na nje ya Tanzania.
 
Hapo kwenye namba 13 wamesema awe tayari kufanya kazi ndani na nje ya nchi. Sote tunajua kuwa polisi ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani na kazi yao kisheria tunaambiwa ni kulinda raia na mali zao, sasa hizo kazi za nje ya nchi nani atawatuma?
 
Hapo kwenye namba 13 wamesema awe tayari kufanya kazi ndani na nje ya nchi. Sote tunajua kuwa polisi ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani na kazi yao kisheria tunaambiwa ni kulinda raia na mali zao, sasa hizo kazi za nje ya nchi nani atawatuma?

kuna interpol mkuu
 
Hapo kwenye namba 13 wamesema awe tayari kufanya kazi ndani na nje ya nchi. Sote tunajua kuwa polisi ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani na kazi yao kisheria tunaambiwa ni kulinda raia na mali zao, sasa hizo kazi za nje ya nchi nani atawatuma?

Tunaenda Darfur,Central Africa, Interpol, etc. Alafu wabongo mnaongoza kwa kubeza jeshi lenu wakati nchi zingine wanatuadmire. Njooni muombe muajiliwe tusaidieni kubadili muelekeo wajeshi hili badala ya kulalamika kwny mitandao. Ukihitimu utakuja utuambie rushwa unafindishwa na jeshi,ni slogan yetu au utashi wamtu mmoja mmoja kama ilivyo sekta zngne. KARIBU!
 
Hapo kwenye namba 13 wamesema awe tayari kufanya kazi ndani na nje ya nchi. Sote tunajua kuwa polisi ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani na kazi yao kisheria tunaambiwa ni kulinda raia na mali zao, sasa hizo kazi za nje ya nchi nani atawatuma?

hahahaaaa.... may b interpol cse hawa jamaa wanachukua staff frm member country, pia tuna balozi na raia all over the world
 
Tunaenda Darfur,Central Africa, Interpol, etc. Alafu wabongo mnaongoza kwa kubeza jeshi lenu wakati nchi zingine wanatuadmire. Njooni muombe muajiliwe tusaidieni kubadili muelekeo wajeshi hili badala ya kulalamika kwny mitandao. Ukihitimu utakuja utuambie rushwa unafindishwa na jeshi,ni slogan yetu au utashi wamtu mmoja mmoja kama ilivyo sekta zngne. KARIBU!

dhahiri kabisa huyu ni afande , salute
 
Amin amin nakuambieni...kama ww mfupi ila una profession nzuri ambayo ni productive kwa jeshi..njoo. Kuna kazi zaidi ya tigo (rider),ffu,trafic,parade,points. Polisi nizaidi ya hayo. Kama huamini angalia profession walizoainisha ili watu waombe.
TAHADHARI: Kama upo serious usimsikilize wakulia au kushoto,anabeza hapa lakini haki ya Mungu utakutana nae kwny foleni ya interview!.
 
Amin amin nakuambieni...kama ww mfupi ila una profession nzuri ambayo ni productive kwa jeshi..njoo. Kuna kazi zaidi ya tigo (rider),ffu,trafic,parade,points. Polisi nizaidi ya hayo. Kama huamini angalia profession walizoainisha ili watu waombe.
TAHADHARI: Kama upo serious usimsikilize wakulia au kushoto,anabeza hapa lakini haki ya Mungu utakutana nae kwny foleni ya interview!.

hahahah omba mkuu si ulikuwa nasubiri kwa hamu hivi depo lenu lilikuwaje...
 
Hapo kwenye namba 13 wamesema awe tayari kufanya kazi ndani na nje ya nchi. Sote tunajua kuwa polisi ipo chini ya wizara ya mambo ya ndani na kazi yao kisheria tunaambiwa ni kulinda raia na mali zao, sasa hizo kazi za nje ya nchi nani atawatuma?

Zanzibar ni nje ya nchi pia mkuu!
 
Back
Top Bottom