Tutaamua lini, ukitaka kujua tupo usingizini angalia Kila awamu mambo yake na vituko vyake.Ndio mana nikasema tukiamua tunaweza
Tutaamua lini, ukitaka kujua tupo usingizini angalia Kila awamu mambo yake na vituko vyake.Ndio mana nikasema tukiamua tunaweza
Ata wadanganyika wenyewe ni hovyo kabisa. Ivi mtu unashadadia mikopo ya imf kwel?Tutaamua lini, ukitaka kujua tupo usingizini angalia Kila awamu mambo yake na vituko vyake.
Mwenyezimungu Ampumzishe kwa Amani Mwamba Wetu John Joseph MagufuliSio kweli, magu alikuwa anatupeleka hiyo hatua ya kwamba na wao kuja kwetu iwe ni dream kwao sio kutumyanyasa kama manyami huku tukiwa.busy kuwaabudu na kuwashangalia,
Sent using Jamii Forums mobile app