I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,731
- 10,033
Serikali ya Uingereza hivi karibuni imetoa muongozo mpya wa udhibitishaji wa Covid19 nchini humo kwa kuongeza masharti kwa baadhi ya a nchi/wananchi watakaotembelea nchi hiyo.
===
Uingereza imetoa msimamo mpya ya kuwa kwa wasafiri wote watokao nchi za Afrika, Marekani ya kusin, Falme za kiarabu, Uturuki, Jordan, Thailand, India na Rusia, kuwa pamoja na kwamba hata kama watakuwa wameshapokea tayari chanjo toka nchini mwao, Sirikali ya Uingereza haitaitambua chanjo hiyo hivyo watatakiwa kukaa karantini nchini humo kwa siku angalau 10 na utaratibu mpya wa uchanjaji.
===
Uingereza imetoa msimamo mpya ya kuwa kwa wasafiri wote watokao nchi za Afrika, Marekani ya kusin, Falme za kiarabu, Uturuki, Jordan, Thailand, India na Rusia, kuwa pamoja na kwamba hata kama watakuwa wameshapokea tayari chanjo toka nchini mwao, Sirikali ya Uingereza haitaitambua chanjo hiyo hivyo watatakiwa kukaa karantini nchini humo kwa siku angalau 10 na utaratibu mpya wa uchanjaji.