karugila
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 1,275
- 687
Vodacom tunaomba mwendane na hali ya uchumi ya sasa.maana vifurushi vyenu viko juu sana .mfano kifurushi cha wiki tshs 5000 ni gb 1.yaani ukijiunga hata siku haiishi kitu kimeisha.hapa nilipo bahati mbaya mtandao wenye 3g ni vodacom tu.hebu tusaidieni